Maeneo ya ng'ambo ya Marekani ni visiwa na funguvisiwa vifuatavyo vinavyoorodheshwa hapa kufuatana na mahali pao ama katika Bahari ya Pasifiki au katika Bahari ya Karibi.
Sheria za Marekani zinaita visiwa hivi "Eneo la visiwani" (king.: "Insular areas"). Hii ni kila eneo chini ya mamlaka ya serikali ya Marekani lisilo sehemu ya majimbo 50 ya Marekani au mkoa wa mji mkuu.
Bendera | Funguvisiwa au kisiwa | Eneo la nchi kavu (km²) | Hori la ndani (km²) | Kifupi cha ISO 3166-1 |
---|---|---|---|---|
Puerto Rico | 8.959 | -- | PR | |
Visiwa vya Virgin vya Marekani | 349 | -- | VI | |
– Navassa | 5,4 | -- |
Kituo cha kijeshi cha Guantanamo kipo pia katika Karibi ni eneo la Kuba lililokodishwa kwa Marekani.
Bendera | Funguvisiwa au kisiwa | Eneo la nchi kavu (km²) | Hori la ndani (km²) | Kifupi cha ISO 3166-1 |
---|---|---|---|---|
Guam | 549 | -- | GU | |
Visiwa vya Mariana ya Kaskazini | 477 | -- | MP | |
Samoa ya Marekani | 199 | -- | AS | |
Visiwa vidogo vya nje vya Marekani | 5,4 | -- | UM | |
– Kisiwa cha Baker | 1,64 | -- | ||
– Kisiwa cha Howland | 1,85 | -- | ||
– Kisiwa cha Jarvis | 4,50 | -- | ||
– Atolli ya Johnston | 2,67 | 130 | ||
– Atolli ya Kingman | 0,01 | 100 | ||
– Atolli ya Midway | 6,20 | 40 | ||
– Atolli ya Palmyra | 3,9 | 8 | ||
– Atolli ya Wake | 6,50 | 6 |
|
This article uses material from the Wikipedia Kiswahili article Eneo la ng'ambo la Marekani, which is released under the Creative Commons Attribution-ShareAlike 3.0 license ("CC BY-SA 3.0"); additional terms may apply (view authors). Maudhui yanapatikana kwa chini ya CC BY-SA 4.0 isipokuwa iwe imebainishwa vinginevyo. Images, videos and audio are available under their respective licenses.
®Wikipedia is a registered trademark of the Wiki Foundation, Inc. Wiki Kiswahili (DUHOCTRUNGQUOC.VN) is an independent company and has no affiliation with Wiki Foundation.