Dubni

Dubni (kwa Kiingereza: Dubnium) ni elementi sintetiki yenye namba atomia 105 kwenye mfumo radidia, uzani atomia ni takriban 262. Alama yake ni Db.

Dubni (dubnium)
Dubni
Jina la Elementi Dubni (dubnium)
Alama Db
Namba atomia 105
Mfululizo safu Metali ya mpito
Uzani atomia 262.0
Valensi 2, 8, 18, 32, 32, 11, 2
Densiti 29.3 g/cm³ (kadirio)
Ugumu (Mohs) {{{ugumu}}}
Asilimia za ganda la dunia 0 % (elementi sintetiki)
Hali maada inaaminiwa ni mango
Mengineyo tamburania, nururifu

Baada ya kugunduliwa katika maabara iliitwa majina tofauti kama vile eka-tantalum, hahnium na unnilpentium lakini hatimaye jina likawa Dubni kwa kumbukumbu ya mji wa Urusi wa Dubna ambako iligunduliwa.

Ni elementi nururifu sana isiyopatikana kiasili. Ni elementi sintetiki au tamburania yaani haipatikani kiasili. Sababu yake ni kwamba nusumaisha ya isotopi zake ni fupi mno. 268Db (isotopi thabiti zaidi) ina nusumaisha ya masaa 28.

Marejeo

Dubni  Makala hii kuhusu mambo ya kemia bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Dubni kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.

Tags:

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

AdhuhuriKitovuDumaKiambishi awaliAgano JipyaUlemavuHekalu la YerusalemuMbossoOrodha ya vitabu vya BibliaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaEkaristiBinadamuTabainiMtume PetroMahakamaHadithiMkoa wa DodomaHistoria ya WasanguTaasisi ya Taaluma za KiswahiliSemantikiEthiopiaMajiShereheMkoa wa IringaRené DescartesVitenzi vishirikishi vikamilifuAganoVita Kuu ya Pili ya DuniaPasaka ya KiyahudiWilaya za TanzaniaZama za ChumaKisononoVivumishi vya -a unganifuKima (mnyama)Historia ya Kanisa KatolikiSeli nyeupe za damuNdoa katika UislamuUnju bin UnuqNjia ya MsalabaChombo cha usafiri kwenye majiJohn MagufuliFasihi ya KiswahiliBenderaBrazilAndalio la somoNileOrodha ya milima ya TanzaniaEe Mungu Nguvu YetuUNICEFKiumbehaiTajikistanLuis MiquissoneOrodha ya vyama vya siasa TanzaniaMsamiatiChuraMauaji ya kimbari ya RwandaIsraeli ya KaleZakaTenziMtandao wa kompyutaFonetikiSiasaMitume na Manabii katika UislamuHistoria ya IsraelUtegemezi wa dawa za kulevyaNdoaVita ya Maji MajiHomanyongo CWabena (Tanzania)AfyaChatGPTTaswira katika fasihi🡆 More