Baba Fryo (jina la kuzaliwa Friday Igwe) ni mwimbaji mkongwe wa Nigeria kutoka Ajegunle . Wimbo wake maarufu nchini Nigeria uliitwa "Dem go dey pose" alioutoa mwishoni mwa miaka ya 1990.
Friday Igwe | |
Amezaliwa | Ajegunle |
---|---|
Nchi | Nigeria kutoka Ajegunle |
Majina mengine | Baba Fryo |
Kazi yake | mwimbaji |
Baba Fryo alisema mwaka 2017 kwamba alitamani kuoa mwanamke ambaye pia anafanya biashara ya showbiz.
Alilalamika kwamba kama angeowa mtu mashuhuri kama yeye, kazi yake isingeshuka kama ilivyokuwa kwa sababu mke angeinua kazi yake pia. Hata hivyo alisema bidii nyingi zimemsaidia sana.
Makala hii kuhusu mambo ya muziki bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Baba Fryo kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
This article uses material from the Wikipedia Kiswahili article Baba Fryo, which is released under the Creative Commons Attribution-ShareAlike 3.0 license ("CC BY-SA 3.0"); additional terms may apply (view authors). Maudhui yanapatikana kwa chini ya CC BY-SA 4.0 isipokuwa iwe imebainishwa vinginevyo. Images, videos and audio are available under their respective licenses.
®Wikipedia is a registered trademark of the Wiki Foundation, Inc. Wiki Kiswahili (DUHOCTRUNGQUOC.VN) is an independent company and has no affiliation with Wiki Foundation.