Uandishi wa insha ni utunzi wa mfuatano wa tungo zenye mtiririko unaoelezea kuhusu mada fulani.
Pengine unaagizwa shuleni ili kumzoesha mwanafunzi kujieleza kwa maandishi.
Kuna aina mbili za insha, nazo ni:
Kimuundo insha imegawanyika katika sehemu kuu nne:
Sehemu hii hufuata baada ya kichwa cha insha na pia hueleza kwa ufupi juu ya jambo linalojulikana.
Hii ni sehemu kuu kabisa: sehemu hii hufuata baada ya utangulizi. Pia hii ndiyo sehemu ambayo mwandishi huelezea kwa undani zaidi kuhusu jambo analoliandika; kila jambo analolizungumzia katika sehemu hii lazima liwe katika aya. Kila hoja ya mada uliyopewa inatakiwa kukaa na kuelezewa kwenye aya yake yenyewe.
Ni sehemu ya mwisho ya insha: mwandishi hutumia msisitizo majumuisho ya ufupisho wa yote aliyoyaandika. Pia mwisho wa insha huanza katika aya.
Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Uandishi wa insha kama historia yake, uenezi au maendeleo yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
This article uses material from the Wikipedia Kiswahili article Uandishi wa insha, which is released under the Creative Commons Attribution-ShareAlike 3.0 license ("CC BY-SA 3.0"); additional terms may apply (view authors). Maudhui yanapatikana kwa chini ya CC BY-SA 4.0 isipokuwa iwe imebainishwa vinginevyo. Images, videos and audio are available under their respective licenses.
®Wikipedia is a registered trademark of the Wiki Foundation, Inc. Wiki Kiswahili (DUHOCTRUNGQUOC.VN) is an independent company and has no affiliation with Wiki Foundation.