Kajala Masanja (alizaliwa 1985) ni mwigizaji wa filamu katika nchi ya Tanzania.
Alionekana na Steven Kanumba katika filamu ya mwaka 2012 Kijiji Cha Tambua Haki.
Aliolewa na mfanyakazi ya benki wa zamani Faraji Chambo. Pia ni mama wa mtoto mmoja anayeitwa Paula. Kwa sasa ameolewa na Harmonize.
Makala hii kuhusu mwigizaji filamu fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Kajala Masanja kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
.
This article uses material from the Wikipedia Kiswahili article Kajala Masanja, which is released under the Creative Commons Attribution-ShareAlike 3.0 license ("CC BY-SA 3.0"); additional terms may apply (view authors). Maudhui yanapatikana kwa chini ya CC BY-SA 4.0 isipokuwa iwe imebainishwa vinginevyo. Images, videos and audio are available under their respective licenses.
®Wikipedia is a registered trademark of the Wiki Foundation, Inc. Wiki Kiswahili (DUHOCTRUNGQUOC.VN) is an independent company and has no affiliation with Wiki Foundation.