Waazeri

Waazeri (pia: Waazerbaijani, Waturuki wa Azerbaijan) ni watu wanaoongea lugha ya Kiazeri, wakazi hasa wa kaskazini-magharibi mwa Iran na nchi ya Azerbaijan.

Waazeri
Uenezi wa wasemaji wa Kiazeri.
Waazeri
Vijana Waazeri katika sare ya kimapokeo

Idadi yao hukadiriwa kuwa kati ya milioni 25 - 30; wengi wanaishi Iran (milioni 15) na Azarbaijan (milioni 9). Wachache wako pia Uturuki, Georgia na Armenia. Karibu wote ni Waislamu wa dhehebu la Shia.

Asili yao ni mchanganyiko wa mataifa na makabila mbalimbali. Watu wa maeneo ya Azerbaijan walikuwa wameanza kutumia Kiajemi kabla ya uvamizi wa Waarabu. Tangu karne ya 11 makabila ya Kituruki walipita hapa katika uhamisho wao kutoka Asia ya Kati kuelekea magharibi, wengi walibaki. Polepole wakazi walibadilisha tena lugha hadi Kiturki cha wageni kimekuwa lugha ya wananchi.

Marejeo

Tags:

AzerbaijanIranKaskaziniKiazeriLughaMagharibiWatu

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

MsamahaKichochoJakaya KikweteKomaVivumishiSaidi NtibazonkizaVita ya Maji MajiKanda Bongo ManInsha za hojaTarakilishiVichekeshoVokaliOrodha ya viongoziLakabuUenezi wa KiswahiliUpendoJokofuElimuMavaziTabianchiDemokrasiaVisakaleKitenzi kishirikishiAgostino wa HippoWajitaAmina ChifupaSentensiVivumishi vya kuoneshaMachweoHistoria ya uandishi wa QuraniNdoaKamusi za KiswahiliCristiano RonaldoOrodha ya miji ya TanzaniaSimu za mikononiMishipa ya damuMfuko wa Taifa wa Hifadhi ya JamiiMilaNdoa katika UislamuLahajaZiwa ViktoriaSimbaUgandaOrodha ya Maspika wa Bunge la TanzaniaKiarabuMapenzi ya jinsia mojaSwalaTashihisiNguruwe-kayaMbaraka MwinsheheUchumiJinsiaShahawaMwana FAVivumishi vya -a unganifuTungo kiraiMillard AyoKiazi cha kizunguMandhariPamboBiashara ya watumwaKiambishi awaliBendera ya ZanzibarMshororoOrodha ya Watakatifu WakristoKata za Mkoa wa Dar es SalaamChristopher MtikilaHisiaLugha za KibantuUandishi wa inshaMnara wa BabeliRupiaSitiari🡆 More