Lugha

Matokeo ya utafutaji kwa ajili ya

Kuna ukurasa unaoitwa "Lugha" kwenye Wiki Kiswahili. Angalia pia matokeo mengine ya utafutaji yaliyopatikana.

Tazama (20 zilizotangulia | ) (20 | 50 | 100 | 250 | 500)
  • Thumbnail for Lugha
    jamii Lugha hutolea elimu Lugha huleta mawasiliano katika jamii Lugha hukuza utamaduni lugha huburudisha Lugha huwa na tabia zifuatazo: Lugha huzaliwa:...
  • Thumbnail for Lugha za Kibantu
    Lugha za Kibantu ni kundi la lugha ambalo ni tawi la lugha za Niger-Kongo. Lugha za Kibantu huzungumzwa hasa katika nchi za Nigeria, Kamerun, Guinea ya...
  • Thumbnail for Lugha rasmi
    Lugha rasmi ni lugha iliyopewa cheo maalumu katika nchi fulani. Kwa kawaida ni lugha inayotumiwa hasa na serikali kwa mawasiliano kati ya ofisi zake na...
  • Thumbnail for Lugha za Kiaustronesia
    Lugha za Kiaustronesia ni familia ya lugha ambazo huzungumzwa katika visiwa vya Pasifiki, vya Asia ya Kusini-Mashariki na kisiwa cha Madagaska. Katika...
  • Lugha za Kiniger-Kongo ni familia ya lugha barani Afrika. Katika familia hiyo kuna lugha takriban 1400 zenye wasemaji milioni 370 katika Afrika Magharibi...
  • Lugha ya taifa ni lugha au lahaja iliyoteuliwa miongoni mwa zile zilizopo katika taifa fulani ili itumike katika mawasiliano ya jamii hiyo. Mara nyingi...
  • Thumbnail for Lugha ya kwanza
    Lugha ya kwanza ni lugha ambayo mtu anaiongea kama lugha yake ya kwanza tangu utotoni, umri ambamo ni rahisi zaidi kuathiriwa na mazingira na hivyo pia...
  • Lugha za Kivuka-Guinea Mpya (pia Lugha za Kitrans-Niugini) ni familia kubwa ya lugha ambazo huzungumzwa katika kisiwa cha Guinea Mpya pande zote mbili...
  • Thumbnail for Lugha za Kihindi-Kiulaya
    Lugha za Kihindi-Kiulaya ni jamii ya lugha iliyo kubwa kuliko zote duniani. Imekadiriwa kuna lugha hai 445 za jamii hiyo na wasemaji bilioni 3.2 katika...
  • Lugha za Kisino-Tibeti ni familia kubwa ya lugha ambazo huzungumzwa katika bara ya Asia, hasa nchini Uchina. Idadi ya lugha katika familia hiyo ni zaidi...
  • Thumbnail for Lugha za Afrika
    Lugha za Afrika ni zaidi ya 2000. Baadhi ya lugha hizi zina wasemaji mamilioni kama vile Kiswahili, Kihausa, Kiigbo, au Kiyoruba. Lugha nyingine zina...
  • Thumbnail for Lugha za Kisemiti
    Lugha za Kisemiti ni kundi la lugha zinazozungumzwa na watu milioni 300 hivi katika Asia ya Magharibi, Afrika ya Kaskazini na Afrika ya Mashariki. Zinahesabiwa...
  • Thumbnail for Kiingereza
    Kiingereza (elekezo toka kwa Lugha ya Kingereza)
    Kiingereza ni lugha ya jamii ya Kigermanik cha Magharibi iliyokua nchini Uingereza kwa muda wa miaka 1,400. Leo, zaidi ya wasemaji milioni mia nne duniani...
  • Thumbnail for Lugha za Kiafrika-Kiasia
    Lugha za Kiafrika-Kiasia ni familia ya lugha barani Afrika na Asia. Katika familia hiyo kuna lugha zaidi ya 300 zenye wasemaji milioni 350 kati ya Afrika...
  • Thumbnail for Lugha za Kinilo-Sahara
    Lugha za Kinilo-Sahara ni familia ya lugha za barani Afrika ambayo ni kati ya zile muhimu zaidi duniani. Hata hivyo, si wataalamu wote wanakubali familia...
  • lugha hizo kama familia moja ya kilugha, lakini tangu pale familia tofautitofauti zilibainishwa, k.m. lugha za Kitorricelli, lugha za Kisepik, lugha za...
  • Thumbnail for Lugha za Kirumi
    Lugha za Kirumi ni lugha zilizotokana na Kilatini kilichokuwa moja kati ya lugha za kale za Kihindi-Kiulaya. Ni lugha mama kwa watu milioni 800 hivi duniani...
  • Thumbnail for Lugha za Kiturki
    Lugha za Kiturki ni kundi la lugha zaidi ya 30 zinazozungumzwa kutoka Ulaya ya Mashariki hadi Asia ya Kati na watu milioni 210. Zinahesabiwa kuwa sehemu...
  • Thumbnail for Lugha za Kislavoni
    na wengine 100 wanotumia lugha hizi kama lugha ya pili. Lugha hizi ni sehemu za familia ya lugha za Kihindi-Kiulaya. Lugha za Kislavoni zenye wasemaji...
  • Thumbnail for Kifaransa
    Kifaransa (elekezo toka kwa Lugha ya Kifaransa)
    Kifaransa (kwa Kifaransa: français) ni lugha ya Ufaransa (pamoja na maeneo yake ya ng'ambo), Ubelgiji ya Kusini, Uswisi ya Magharibi, Luxemburg na Kanada...
  • lugha (wingi) Luga (fr., pt.) maneno yanayotumiwa na watu fulani ili kuwasiliana Hatua ya kwanza ya kuongea lugha ni kutamka sauti. Utamkaji wa sauti
Tazama (20 zilizotangulia | ) (20 | 50 | 100 | 250 | 500)

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

HalmashauriVivumishi vya -a unganifuMtaalaUfugaji wa kukuKataMimba kuharibikaKiwakilishi nafsiVitamini COrodha ya nchi za AfrikaMwanamkeSayariKumaJohn MagufuliUgonjwa wa kuharaAdolf HitlerMeliUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaMwanza (mji)Julius NyerereAntibiotikiLady Jay DeeWachaggaRushwaMkoa wa MaraAWayahudiSaratani ya mlango wa kizaziBibliaMzeituniAlama ya uakifishajiNenoUbungoMsituTafsiriPasakaMusaMuundoJokofuOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaOrodha ya vyama vya siasa TanzaniaSikukuu za KenyaMagharibiYesuWimbo wa Jumuiya ya Afrika MasharikiHedhiUchumiSilabiMshubiriSkeliKiambishi tamatiMafumbo (semi)NyotaAbedi Amani KarumeKishazi huruVasco da GamaLughaMillard AyoBurundiPamboKinyongaWangoniViwakilishi vya idadiKisimaViwakilishiAfrika ya Mashariki ya KijerumaniMkoa wa KigomaPijiniNdiziPaul MakondaUtamaduniNgamia🡆 More