Visiwa Vya Mariana

Visiwa vya Mariana (kwa Kiingereza: Mariana Islands) ni funguvisiwa la Pasifiki ya magharibi, takriban katikati ya Papua Guinea Mpya na Japani.

Vinahesabiwa kati ya visiwa vya Melanesia.

Visiwa Vya Mariana

Kwa jumla ni safu ya visiwa 15 vyenye asili ya volkeno kati ya 12 hadi 21N na mnamo 145E.

Vyote ni maeneo ya ng'ambo ya Marekani inayotawala funguvisiwa hilo kama vitengo viwili vya pekee:

  • Visiwa vya Mariana ya Kaskazini (Northern Mariana Islands) ambavyo ni idadi kubwa ya visiwa hivyo na eneo lenye madaraka ya kujitawala
  • Guam ambayo ni kisiwa kikubwa pekee ambacho ni kituo cha kijeshi cha Marekani.

Marejeo


Visiwa Vya Mariana  Makala hii kuhusu eneo fulani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu eneo hilo kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Je, unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.


Usitaje majina ya madiwani na viongozi au maafisa wengine wa sasa maana wanabadilika haraka mno.

Tags:

FunguvisiwaJapaniKiingerezaMagharibiMelanesiaPapua Guinea MpyaPasifikiVisiwa

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

WaanglikanaHedhiKunguniIdara ya Usalama wa Taifa (Tanzania)MongoliaKwaresimaRose MhandoNetiboliWallah bin WallahPijini na krioliAsiliRiwayaOrodha ya Makamu wa Rais TanzaniaUshairiDamuUmaWiki CommonsPesaSemiMichelle ObamaKifo cha YesuSikukuuAndalio la somoTungo sentensiUandishi wa barua ya simuMaghaniUzazi wa mpangoKukuHaki za binadamuUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaZama za MaweMungu ibariki AfrikaNdoa katika UislamuMbuniAfrika Mashariki 1800-1845Nelson MandelaKiambishiSenegalNgeli za nominoMnara wa BabeliUtegemezi wa dawa za kulevyaMbaraka MwinsheheVita Kuu ya Pili ya DuniaAlomofuOrodha ya Watakatifu wa AfrikaAlasiriMadhara ya kuvuta sigaraMivighaEthiopiaKombe la Mataifa ya AfrikaVita ya Maji MajiUgaidiMkungaFasihiNyasa (ziwa)RaiaKitabu cha ZaburiAfande SeleWaluguruMkoa wa RukwaOrodha ya nchi kufuatana na wakaziPasakaUgonjwa wa moyoLuis MiquissoneMalaikaOrodha ya maziwa ya TanzaniaHistoria ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya KongoUwanja wa Taifa (Tanzania)WasukumaDaudi (Biblia)UajemiChuraOrodha ya matajiri wakubwa WaafrikaKiungulia🡆 More