Orodha Ya Watakatifu Wa Afrika

Hii Orodha ya Watakatifu wa Afrika inataja watu wanaoheshimiwa na Kanisa Katoliki au madhehebu mengine yoyote ya Ukristo kama watakatifu ambao walizaliwa, waliishi au walifariki barani humo (katika mabano mara nyingi inatajwa nchi ya leo).

Orodha Ya Watakatifu Wa Afrika
Yosefina Bakhita kutoka Darfur, Sudan ya leo.

Kabla ya Uislamu

Katika karne sita za kwanza za Kanisa, Afrika ililizalia watakatifu na viongozi wake wengi, bila kushindwa na dhuluma za Dola la Roma zilizoenea kote, Farakano la Donato na dhuluma ya Wavandali upande wa Ukristo wa Magharibi, farakano la Wakopti upande wa Ukristo wa Mashariki (lililofuata Mtaguso wa Kalsedonia, 451).

Watu wa Biblia

Mapapa

Kati ya Mapapa wa karne za kwanza watatu walizaliwa Afrika au Roma na wazazi kutoka Afrika. Wote hao wanaheshimiwa kama watakatifu:

Walimu wa Kanisa

Kati ya walimu wa Kanisa, watatu walitokea Afrika:

Wengine waliosomea Afrika ni:

Waandishi na wanateolojia

Waandishi na wanateolojia wengi walitokea Afrika au waliishi huko, kama vile watakatifu:

Wengineo

Karne za Kati

Baada ya Waarabu kuteka Afrika Kaskazini yote (karne ya 7), Kanisa Katoliki karibu lilitoweka barani humo. Walibaki zaidi Wakristo wa Kikopti kuanzia Misri hadi Ethiopia, wakiwa na wamonaki wengi sana. Kati ya watakatifu waliowahi kuishi au kufika Afrika katika karne za kati maarufu zaidi ni:

Nyakati zetu

Kati ya walioishi baadaye kuna (miaka na nchi ya Afrika alipoishi):

• Karolo Lwanga • Matias Mulumba Kalemba • Andrea Kaggwa • Atanasi Bazzekuketta • Gonzaga Gonza • Noe Mawaggali • Luka Banabakintu • Yakobo Buzabaliawo • Gyavira Musoke • Ambrosio Kibuuka • Anatoli Kiriggwajjo • Achile Kiwanuka • Kizito • Mbaga Tuzinde • Mugagga Lubowa • Yosefu Mukasa Balikuddembe • Adolfo Mukasa Ludigo • Bruno Sserunkuma • Yohane Maria Muzei, Tanzania • Dionisi Ssebuggwawo • Ponsyano Ngondwe • Mukasa Kiriwawanvu

Tazama pia

Tanbihi

Vyanzo

Orodha Ya Watakatifu Wa Afrika  Makala hii kuhusu dini ya Ukristo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Orodha ya Watakatifu wa Afrika kama historia yake, matokeo au athari zake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.

Tags:

Orodha Ya Watakatifu Wa Afrika Kabla ya UislamuOrodha Ya Watakatifu Wa Afrika Karne za KatiOrodha Ya Watakatifu Wa Afrika Nyakati zetuOrodha Ya Watakatifu Wa Afrika Tazama piaOrodha Ya Watakatifu Wa Afrika TanbihiOrodha Ya Watakatifu Wa Afrika VyanzoOrodha Ya Watakatifu Wa AfrikaBaraKanisa KatolikiMadhehebuUkristoWatakatifuWatu

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

Uundaji wa manenoMamaUkomeshaji wa Biashara ya WatumwaKihusishiMafurikoWanyamaporiMbwaDiplomasiaSerikaliUtohoziOrodha ya nchi za AfrikaTungo kiraiFonetikiSemiOrodha ya Marais wa TanzaniaVieleziDolar ya MarekaniNimoniaLeopold II wa UbelgijiNyokaMilaVidonda vya tumboVita vya KageraPalestinaJiografia ya TanzaniaHistoria ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya KongoPichaUingerezaJay MelodyWanyaturuJakaya KikweteBarack ObamaUchawiMaambukizi ya njia za mkojoSimuNomino za wingiKanisa KatolikiOrodha ya vyama vya siasa TanzaniaMahindiBiblia ya KikristoUmoja wa MataifaMasharikiMenoMkoa wa MtwaraLahaja za KiswahiliAmfibiaHoma ya mafuaUtawala wa Kijiji - TanzaniaKylian MbappéMajira ya mvuaMapafuMange KimambiAfrika KusiniOrodha ya mikoa ya Tanzania na Pato la TaifaMatumizi ya lugha ya KiswahiliKiambishi awaliWapareMungu ibariki AfrikaMwanga wa JuaMkoa wa KataviAzimio la Kimataifa juu ya Haki za BinadamuKibena (Tanzania)Rufiji (mto)Historia ya KiswahiliMuhammadJangwaMbaraka MwinsheheDhamiraSitiariVivumishi vya kumiliki🡆 More