Quintus Septimius Florens Tertullianus (160 hivi – 225 hivi), alikuwa padri na mwandishi maarufu wa Ukristo wa mwanzoni kutoka Karthago, mji wa mkoa wa Afrika katika Dola la Roma, leo nchini Tunisia.
Ndiye Mkristo wa kwanza aliyeandika sana kwa Kilatini, akiathiri fasihi yote iliyofuata hasa kwa misamiati yake mipya, hasa kuhusu fumbo la Utatu Mtakatifu akaitwa "mwanzilishi wa teolojia ya Magharibi."
Initial text of article from The New Schaff-Herzog Encyclopedia of Religious Knowledge, Philip Schaff, public domain
This Holy Seed: Faith, Hope and Love in the Early Churches of North Africa Robin Daniel, (Chester, Tamarisk Publications, 2010: from www.opaltrust.org) ISBN 095385634.
T.D.Barnes, Tertullian: A literary and historical study Oxford, 1971; reprinted with appendix of revisions 1985.
Ekonomou, Andrew J. 2007. Byzantine Rome and the Greek Popes: Eastern influences on Rome and the papacy from Gregory the Great to Zacharias, A.D. 590–752. Lexington Books.
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.
This article uses material from the Wikipedia Kiswahili article Tertuliani, which is released under the Creative Commons Attribution-ShareAlike 3.0 license ("CC BY-SA 3.0"); additional terms may apply (view authors). Maudhui yanapatikana kwa chini ya CC BY-SA 4.0 isipokuwa iwe imebainishwa vinginevyo. Images, videos and audio are available under their respective licenses. ®Wikipedia is a registered trademark of the Wiki Foundation, Inc. Wiki Kiswahili (DUHOCTRUNGQUOC.VN) is an independent company and has no affiliation with Wiki Foundation.