Praha

Praha (pia: Praga, Prague tamka: Prag -Kicheki: Praha) ni mji mkuu pia mji mkubwa wa Ucheki wenye wakazi milioni 1.3(2022).

Praha
Minara na madaraja ya Praha

Kutokana na uzuri wa majengo yake ya kihistoria imeitwa "mji wa dhahabu" au "mji wa minara 100".

Jiografia

Mji uko kando ya mto Vltava katika Ucheki ya magharibi. Kitovu cha mji kipo katika pindo la mto kati ya vilima viwili. Mji umeenea zaidi hadi nyanda za juu za jirani. Ndani ya eneo la mji kuna visiwa kadhaa mtoni.

Milima ya juu karibu na mji inafikia kimo cha mita 381 na 385.

Picha za Praha

Tazama pia

Tanbihi

Viungo vya Nje

Praha  Makala hii kuhusu maeneo ya Ulaya bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Praha kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.

Tags:

Praha JiografiaPraha Picha za Praha Tazama piaPraha TanbihiPraha Viungo vya NjePraha2022KichekiMilioniMjiMji mkuuUcheki

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

NgeliKiboko (mnyama)Namba ya mnyamaMkutano wa Berlin wa 1885PopoUfisadiUfupishoUnyevuangaNdoo (kundinyota)MahakamaSimbaP. FunkNgw'anamalundiNambaNyegeWilaya ya UbungoMvuaUhuru wa TanganyikaUkoloniRohoNandyKiswahiliKanisaAlfabetiBunge la TanzaniaDiamond PlatnumzJohn Samwel MalecelaLugha ya taifaMohamed Gharib BilalNathariMjombaMobutu Sese SekoInjili ya LukaMkoa wa RukwaFonimuJohn Raphael BoccoTabainiNdoa katika UislamuWachaggaTanganyika (ziwa)BinadamuVipimo asilia vya KiswahiliMkunduUfilipinoMitume na Manabii katika UislamuOrodha ya kampuni za TanzaniaBendera ya ZanzibarMichael JacksonMagomeni (Dar es Salaam)Wilaya ya NyamaganaBagamoyo (mji)MhandisiNomino za wingiMariooMburahatiUkristo barani AfrikaGoba (Ubungo)DhahabuEverest (mlima)Fasihi andishiVirusi vya CoronaNdege (mnyama)UongoziNyangumiSarataniVivumishi vya jina kwa jinaUmoja wa MataifaZama za MaweMawasilianoYombo VitukaMkoa wa KigomaWazaramoTetekuwangaAmfibia🡆 More