Mungu Mwana

Mungu Mwana (kwa Kigiriki Θεός ὁ υἱός, Theos o uios) ni nafsi ya pili ya Utatu Mtakatifu wa Mungu pekee.

Mungu Mwana
Mungu akistarehe baada ya kuumba – Kristo amechorwa kama muumbaji wa ulimwengu katika mozaiki hii ndani ya kanisa kuu la Monreale, Sicily.


Dogma hiyo ya Ukristo (madhehebu yote isipokuwa Wasiosadiki Utatu) inamkiri Yesu kuwa Mungu sawa na Mungu Baba na Roho Mtakatifu.

Kanuni ya Imani ya Nisea-Konstantinopoli inamkiri Mungu Mwana "aliyezaliwa na Baba tangu milele yote", alikuwepo kabla ya kujifanya binadamu tumboni mwa Bikira Maria.

Tanbihi

Viungo vya nje

Mungu Mwana  Makala hii kuhusu dini ya Ukristo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mungu Mwana kama historia yake, matokeo au athari zake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.

Tags:

KigirikiMunguNafsiUtatu Mtakatifu

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

Reli ya TanganyikaMbeguMtiJohn Raphael BoccoShirika la Reli TanzaniaVivumishiKaabaFani (fasihi)MasharikiWachaggaMotoMkoa wa MbeyaKitenziAsiaMkoa wa MaraMwanamkeAurora, ColoradoKibodiSanaa za maoneshoMagharibiKitenzi kikuu kisaidiziChuiBaraza la mawaziri TanzaniaHaki za wanyamaMarekaniHistoria ya KenyaKamusiAla ya muzikiKodi (ushuru)Dioksidi kaboniaDaniel Arap MoiMsituMauaji ya kimbari ya RwandaOrodha ya vyama vya siasa TanzaniaDiego GraneseMaudhuiJinaElimuFeisal SalumLahajaOrodha ya Magavana wa TanganyikaTupac ShakurAgano la KaleMapenziTetemeko la ardhiWellu SengoSalaUhuru KenyattaVasco da GamaHistoria ya UislamuKiburiAbd el KaderNguruweUislamuVivumishi vya kumilikiLigi Kuu Tanzania BaraNabii EliyaOrodha ya Marais wa UgandaUfahamuIsraelRafikiNikki wa PiliThabitiMfumo wa lughaBendera ya TanzaniaPundaNchiKihusishiTaifa StarsNgono KavuTovutiKiingerezaSodomaMunguVielezi vya namnaKumaMuungano wa Tanganyika na Zanzibar🡆 More