Mungu

Matokeo ya utafutaji kwa ajili ya

Kuna ukurasa unaoitwa "Mungu" kwenye Wiki Kiswahili. Angalia pia matokeo mengine ya utafutaji yaliyopatikana.

Tazama (20 zilizotangulia | ) (20 | 50 | 100 | 250 | 500)
  • Mungu ni jina lenye asili ya Kibantu linalotumika kwa yeyote anayesadikiwa katika dini mbalimbali kuwa na uhai wa hali ya juu. Kati ya wafuasi wa dini...
  • wa Mungu (kwa Kiebrania: מלכות malkut, kwa Kigiriki: βασιλεία τοῦ theoũ, basileia tou theou) ni istilahi ya Biblia inayomaanisha kazi ya YHWH (Mungu wa...
  • Mwenyezi Mungu katika lugha ya Kiswahili ni jina linalotumika kwa Muumba wa kila kitu, Mwenye kuabudiwa kwa haki, kinyume na neno mungu ambalo linamaanisha...
  • Thumbnail for Mungu Baba
    Mungu Baba ni nafsi ya kwanza ya Mungu katika imani ya Wakristo (isipokuwa Wasiosadiki Utatu). Katika Uyahudi Mungu aliitwa pengine Baba kwa jinsi alivyo...
  • Thumbnail for Mungu Mwana
    Mungu Mwana (kwa Kigiriki Θεός ὁ υἱός, Theos o uios) ni nafsi ya pili ya Utatu Mtakatifu wa Mungu pekee. Dogma hiyo ya Ukristo (madhehebu yote isipokuwa...
  • Thumbnail for Mwana wa Mungu
    "Mwana wa Mungu" ni jina linalotumiwa katika dini mbalimbali ili kusisitiza uhusiano wa mtu fulani na Mungu au mmojawapo wa miungu. Kwa maana hiyo lilitumika...
  • Thumbnail for Yohane wa Mungu
    Yohane wa Mungu (8 Machi 1495 – 8 Machi 1550) alikuwa mtawa wa Ureno aliyetoa huduma zake nchini Hispania. Ametambuliwa na Kanisa Katoliki kuwa mtakatifu...
  • Umoja wa Mungu ni hoja iliyotetewa na falsafa na imani ya dini mbalimbali, ya kwamba kuna Mungu mmoja tu, ambaye ni mkuu kabisa kuliko vitu vyote na ni...
  • Thumbnail for Mama wa Mungu Derzhavnaya
    Mama wa Mungu Derzhavnaya (yaani "Anayetawala") ni picha takatifu ya Urusi iliyokadiriwa kuchorwa katika karne ya 18. Ni kati ya zile zinazoheshimiwa...
  • Thumbnail for Mama wa Mungu
    Mama wa Mungu (kwa Kigiriki Θεοτόκος, Theotókos; kwa Kilatini Deipara au Dei genetrix, yaani "Mzaa Mungu") ni sifa kuu ambayo Wakristo wengi wanampatia...
  • Thumbnail for Huruma ya Mungu
    Huruma ya Mungu ni sifa kubwa ya Mwenyezi Mungu ambayo inatangazwa katika dini mbalimbali, hususan Uyahudi, Ukristo na Uislamu. Biblia na Kurani zinalingana...
  • Miungu (elekezo toka kwa Mungu mdogo)
    Miungu (wingi wa mungu) ni jina linalojumlisha wahusika wanaoabudiwa katika dini mbalimbali kama wenye nguvu na enzi juu ya maisha ya binadamu. Huogopwa...
  • Neno la Mungu ni namna ambayo wafuasi wa dini kadhaa wanavyotazama misahafu yao ili kusisitiza imani yao ya kuwa hiyo iliandikwa kadiri ya Mungu na kuleta...
  • Thumbnail for Mars (mungu)
    Mars (kutoka Kilatini Mars) alikuwa mungu wa vita katika dini ya Roma ya Kale. Kwa asili aliabudiwa pia kama mungu wa kilimo. Alitazamwa kama mwana wa...
  • Thumbnail for Amri Kumi
    Amri Kumi (elekezo toka kwa Amri za Mungu)
    Amri Kumi ni orodha ya amri kuu za Mungu katika Biblia. Za kwanza zinamhusu Mwenyezi Mungu mwenyewe, na zile zinazofuata mpaka mwisho zinahusu jirani...
  • Muungano na Mungu kwa njia ya Yesu ni lengo kuu la binadamu wote kadiri ya Ukristo na unatarajiwa kukamilika katika uzima wa milele, lakini unatakiwa...
  • Uchaji wa Mungu ni sifa inayoheshimiwa katika dini mbalimbali. Kama kipaji cha Roho Mtakatifu ni utayari wa Mkristo kuangaziwa na Roho Mtakatifu kuhusu...
  • Mtumishi wa Mungu ni jina la heshima linalotumika katika Biblia na katika Ukristo kwa mtu anayesadikiwa kumtumikia Mungu kwa namna ya pekee. Katika Biblia...
  • Thumbnail for Ukanamungu
    Ukanamungu (elekezo toka kwa Ukanaji Mungu)
    miungu, yaani ni dhana kuwa hakuna Mungu wala miungu. Hivyo ni kinyume cha Utheisti, imani kuwa angalau kuna Mungu mmoja. Asili ya neno Uatheisti, limechipuka...
  • Thumbnail for Daraja la Mungu
    9°16′39″S 33°33′19″E / 9.27760°S 33.55515°E / -9.27760; 33.55515 Daraja la Mungu ni daraja kubwa la asili linalounganisha kingo mbili za mto Kiwira kwenye...
  • mungu aliyeumba mbingu na ulimwengu na anayeabudiwa na wafuasi wake Kiingereza: God (en) Kikuyu: ngai (kik) Luhya: were (luy) Luo: nyasaye (luo) Kamba:
Tazama (20 zilizotangulia | ) (20 | 50 | 100 | 250 | 500)

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

Mohamed Gharib BilalMtandao wa kompyutaWabunge wa kuteuliwaJumuiya ya MadolaMaumivu ya kiunoOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoAfande SeleKiambishi tamatiVielezi vya namnaUjimaMaliasiliKilimoKatekisimu ya Kanisa KatolikiAfro-Shirazi PartySemantikiDhahabuLugha ya maandishiMahakama ya TanzaniaMohamed HusseinSayansiMaudhui katika kazi ya kifasihiChakulaMimba kuharibikaMkoa wa KilimanjaroAthari za muda mrefu za pombeWanyama wa nyumbaniUtataVivumishi vya ambaPopoKiarabuMitume na Manabii katika UislamuMkoa wa Unguja Mjini MagharibiPaul MakondaMbwana SamattaUlumbiVipera vya semiGhuba ya UajemiVivumishi vya idadiMajira ya mvuaBawasiriFalsafaSheriaNangaIndonesiaKigogo (Kinondoni)Philip Isdor MpangoWagogoWilaya ya IlalaNimoniaKinyereziOrodha ya viwanja vya michezo TanzaniaWajitaJamhuri ya Watu wa ChinaMsokoto wa watoto wachangaMwenge wa UhuruKukuMkoa wa SimiyuVivumishi vya pekeeMaana ya maishaMabiboKiboko (mnyama)NdiziIsraeli ya KaleUzalendoHuduma ya kwanzaKitenzi kikuu kisaidiziMrisho MpotoKisimaRitifaaRisalaMfumo wa upumuajiVihisishiNomino🡆 More