Feisal Salum

Feisal Salum (alizaliwa 11 Januari 1998) ni mchezaji wa mpira wa miguu nchini Tanzania.

Ameanza kucheza mpira akiwa na miaka 17. Alianza kuchezea timu ya mtaani katika michuano ya"Ramadhan Cup"baada ya michuano alifanikiwa kwenda kuchezea katika timu ya Young Africans S.C. Pia aliwahi kucheza timu moja na mchezaji Haruna Niyonzima wa Rwanda kwa sasa ni mchezaji wa Azam.. Jina lake la umaarufu anajuulikana kama "Feitoto"

Kimataifa

Mwaka 2017 alicheza kombe la CECAFA Cup akiwa na timu Tanzania visiwani (Zanzibar national football team). Mwaka 2018 aliichezea timu ya taifa ya Tanzania.

Marejeo

Feisal Salum  Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Feisal Salum kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.

Tags:

11 Januari1998MchezajiMpira wa miguuTanzania

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

Tanganyika (ziwa)WakingaDubai (mji)Ngw'anamalundiHadithiVielezi vya namnaVipera vya semiWhatsAppSimba S.C.MeliMichoro ya KondoaOrodha ya mikoa ya Tanzania na Pato la TaifaMagonjwa ya kukuUfeministiBunge la TanzaniaPonografiaShambaNahauOrodha ya Marais wa BurundiShetaniKiambishiSimu za mikononiOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoMohammed Gulam DewjiVokaliMaktabaWaziri wa Mambo ya Ndani (Tanzania)Umoja wa MataifaNdege (mnyama)MivighaLughaLuka ModricChuraJohn MagufuliFonimuChuo Kikuu cha Dar es SalaamMkoa wa KataviMtaguso wa kwanza wa NiseaMeridianiShinikizo la juu la damuMtakatifu PauloVita Kuu ya Pili ya DuniaVitenzi vishirikishi vikamilifuHoma ya matumboMfumo wa vyama vingiDNAUfugajiKamusi elezoJangwaFasihi andishiMuzikiVivumishi vya kumilikiBawasiriMziziViwakilishi vya kumilikiOrodha ya makabila ya KenyaKaabaJokofuMariooChristina ShushoAslay Isihaka Nassoro17 ApriliMaghaniRiwayaMkoa wa GeitaSalaStadi za maishaAmfibiaMkoa wa ManyaraMagimbiTashihisiMwigizajiEthiopiaArusha (mji)🡆 More