Mpopi

Mpopi (kutoka Kiing.

Mpopi
Mpopi
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Planta (mimea)
(bila tabaka): Angiospermae (Mimea inayotoa maua)
(bila tabaka): Eudicots (Mimea ambayo mche wao una majani mawili)
Oda: Ranunculales
Familia: Papaveraceae
Jenasi: Papaver
Spishi: P. somniferum
L.

Inakua hadi urefu wa mita 1 ikiwa na maua meupe, manjano na mara nyingi mekundu. Mpopi ni asili ya madawa ya kulevya ya afyuni na heroini yanayotumiwa pia kama madawa ya tiba hasa kwa kutuliza maumivu makali.

Mbegu zake hutumiwa kwa kutoa mafuta pia kama chakula ukichanganywa ndani ya keki na mikate.

Kemikali zinazosababisha matumizi ya afyuni ziko hasa katika utomvi wa mpopi lakini kwa kiasi kidogo pia kwenye majani na mbegu wake. Afyuni hutengenezwa kwa kukata tumba za ua la mpopi; utomvi mweupe unatoka nje na kuganda hewani kuwa masi kama mpira. Masi hii ni afyuni bichi.

Afyuni hulimwa hasa kwa ajili ya biashara haramu ya afyuni na heroini. Nchi yenye mashamba makubwa ni Afghanistan na Myanmar. Hata kama kilimo na biashara hii ni haramu wakulima maskini wanavutwa na mapato ambayo ni juu kuliko mapato kutokana na mazao ya chakula.

Viungo vya Nje

Mpopi 
Wiki Commons ina media kuhusu:

Picha za mpopi

Tags:

AfyuniHeroiniKiing.Madawa ya kulevyaMashariki ya Kati

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

Haki za binadamuNomino za pekeeSamliMikoa ya TanzaniaMarie AntoinetteOrodha ya Maspika wa Bunge la TanzaniaUzalendoKiambishi tamatiMartin LutherMishipa ya damuAfyaAla ya muzikiDaftariUsikuMatumizi ya lugha ya KiswahiliInstagramSubrahmanyan ChandrasekharHistoria ya KanisaVita vya KageraFur EliseKamusi Hai ya Kiswahili MtandaoniOrodha ya nchi za Afrika kulingana na idadi ya watuJumuiya ya MadolaKabilaUtoaji mimbaMuhammadSumakuWanyamweziWellu SengoChunusiOrodha ya vyama vya siasa TanzaniaMadhara ya kuvuta sigaraKomaMaishaStephen WasiraUgonjwa sugu wa njia za pumzi zilizofunganaIsraelAsili ya KiswahiliFonolojiaThenasharaAsidiZambiaKusiniOsama bin LadenUwanja wa Taifa (Tanzania)Mbwana SamattaHistoria ya AfrikaBiashara ya masafa marefu ya Afrika MasharikiMkoa wa MbeyaKuraniMarekaniMtandao wa kompyutaUtawala wa Kijiji - TanzaniaMashineZiwa ViktoriaMnururishoAfrika ya MasharikiUlemavuInjili ya YohaneTaasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa ya TanzaniaHistoria ya uandishi wa QuraniHadithi za Mtume MuhammadSanaa za maoneshoOrodha ya Marais wa TanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiUtegemezi wa dawa za kulevyaAina za udongoBunge la Umoja wa AfrikaUtendi wa Fumo LiyongoBawasiriChombo cha usafiriMadiniMuzikiKinembe (anatomia)Mji mkuu🡆 More