Mkakao (jina la kisayansi: Theobroma cacao) ni mti ambao maua na kwa hivyo matunda yake yamea juu ya shina au matawi.
Mkakao (Theobroma cacao) | ||||||||||||||||
---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
Mkakao | ||||||||||||||||
Uainishaji wa kisayansi | ||||||||||||||||
|
Kokwa hutumika kwa kutengeneza kakao, ambayo ni chanzo cha chokoleti.
Mkakao hulimwa sana nchini Ghana, lakini pia Tanzania maeneo kama vile Kyela.
Makala hii kuhusu mmea fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkakao kama uainishaji wake wa kibiolojia, uenezi au matumizi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
This article uses material from the Wikipedia Kiswahili article Mkakao, which is released under the Creative Commons Attribution-ShareAlike 3.0 license ("CC BY-SA 3.0"); additional terms may apply (view authors). Maudhui yanapatikana kwa chini ya CC BY-SA 4.0 isipokuwa iwe imebainishwa vinginevyo. Images, videos and audio are available under their respective licenses.
®Wikipedia is a registered trademark of the Wiki Foundation, Inc. Wiki Kiswahili (DUHOCTRUNGQUOC.VN) is an independent company and has no affiliation with Wiki Foundation.