Mdudu-Koleo

Nusuoda 4:

Mdudu-koleo
Mdudu-koleo (Anisolabis maritima)
Mdudu-koleo (Anisolabis maritima)
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Animalia (Wanyama)
Faila: Arthropoda (Wanyama wenye mwili wa pingili na miguu ya kuunga wasio na ugwe wa mgongo kama wadudu, nge, buibui)
Nusufaila: Hexapoda (Arithropodi wenye miguu sita)
(bila tabaka): Dicondylia (Wadudu walio na mandibula zenye condyle mbili)
Ngeli: Insecta (Wadudu)
Linnaeus, 1758
Nusungeli: Pterygota (Wadudu wenye mabawa)
Lang, 1888
Oda: Dermaptera
De Geer, 1773
Ngazi za chini

  • Arixeniina
  • Catadermaptera
  • Forficulina
  • Hemimerina

Wadudu-koleo ni wadudu wadogo wa oda Dermaptera (derma = ngozi, ptera = mabawa) ambao wana serki kwa umbo wa koleo. Serki hizi hutumika kwa kushika mawindo, kwa kujitetea, kwa kukunja mabawa ya nyuma na wakati wa kujamiiana. Mabawa ya nyuma yakunjwa ili kufichwa chini ya yale ya mbele yaliyo mafupi.

Kuna spishi zinazoishi juu ya wanyama, lakini takriban spishi zote huishi nje na hula kila aina ya chakula: majani, maua, wadudu wadogo, maada ya mimea na wanyama waliokufa. Spishi kadhaa, kama mdudu-koleo wa Ulaya, zinaweza kuwa wasumbufu na kusababisha hasara katika mashamba. Lakini spishi nyingi zinasaidia wakulima kwa sababu wanakula wadudu wengine wasumbufu, kama vidukari.

Spishi kadhaa za Afrika ya Mashariki

  • Anisolabis felix
  • Anisolabis jeanneli
  • Anisolabis maritima
  • Dihybocercus confusus
  • Isolabis bicolor
  • Isolabis braueri
  • Iolabis proxima
  • Isolabis rufa
  • Isolabis transversa
  • Isolabis unicolor
  • Isolabis usambarana

Picha

Mdudu-Koleo  Makala hii kuhusu mdudu fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mdudu-koleo kama uainishaji wake wa kibiolojia, maisha au uenezi wake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Mdudu-Koleo  Makala hiyo kuhusu "Mdudu-koleo" inatumia jina ambalo halijakuwepo kwa lugha ya Kiswahili. Jina hili linapendekezwa kwa jina la mnyama huyu au wanyama hawa amba(ye)(o) ha(wa)na jina kwa sasa.

Wasomaji wanaombwa kuchangia mawazo yao kwenye ukurasa wa majadiliano ya makala.
Kamusi za Kiswahili hazina jina kwa mnyama huyu au wanyama hawa.

Tags:

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

Mitume na Manabii katika UislamuUgonjwa wa uti wa mgongoDar es SalaamVieleziChemchemiBarua rasmiSerikaliSaratani ya mlango wa kizaziOrodha ya vyama vya siasa TanzaniaAbedi Amani KarumeTahajiaHoma ya matumboMapambano ya uhuru TanganyikaJioniSamakiMartin LutherTafsiriMnururishoJumaUbatizoKamala HarrisMtandao wa kijamiiNandyIsaViwanja vya Afrika (Kwa Ukubwa)Maajabu ya duniaHisiaShelisheliSiasaMbwaKiambishi awaliVita vya KageraMkutano wa Berlin wa 1885MakkaMtandao wa kompyutaFutariViwakilishi vya idadiKiangaziNambaZuhuraOrodha ya vitabu vya BibliaWikiZiwa ViktoriaOrodha ya Makamu wa Rais TanzaniaDhahabuNomino za kawaidaSamia Suluhu HassanKomaNimoniaSimon MsuvaLahajaAAina za udongoBogaMsumbijiUaTai (maana)KamusiUsikuMichael JacksonHarrison George MwakyembeManchester United F.C.UshirikianoNdoa katika UislamuMaradhi ya zinaaIraqUtegemezi wa dawa za kulevyaArusha (mji)Katekisimu ya Kanisa KatolikiTabianchi ya TanzaniaDaniel Arap MoiMnjugu-maweMkoa wa GeitaAzimio la kaziMuda sanifu wa dunia🡆 More