Ceres: Mungu wa kirumi wa kilimo

Makala hii inamhusu mungu katika dini ya Roma ya Kale.

Kwa sayari kibete tazama 1 Ceres

Ceres: Mungu wa kirumi wa kilimo
Sanamu ya Ceres katika makumbusho ya Louvre mjini Paris

Ceres aliabudiwa katika ustaarabu wa Roma ya Kale kama mungu wa kike aliyehusika habari za kilimo, rutba na unyumba. Alitazamiwa kama binti wa miungu Saturnus na Ops.

Alilingana na mungu wa Kigiriki Demeter. Katika mitholojia ya Kiroma alizaa watoto wawili na Iupiter.

Tags:

1 CeresMitholojia ya KirumiSayari kibete

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

Mbwana SamattaAsidiUzalendoMbooSensaLugha ya piliMaisha ya Weusi ni muhimuYouTubeShetaniOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaHistoria ya AfrikaMuda sanifu wa duniaSimba S.C.Andalio la somoMsituKata za Mkoa wa MorogoroUaminifuMkoa wa TangaNathariUtoaji mimbaUmoja wa MataifaOrodha ya Maspika wa Bunge la TanzaniaWangoniTeknolojiaNdoa katika UislamuOrodha ya vyama vya siasa TanzaniaFasihi andishiAlama ya barabaraniChris Brown (mwimbaji)IsimujamiiEverest (mlima)Julius NyerereAurora, ColoradoUgonjwa wa uti wa mgongoSaratani ya mlango wa kizaziShirika la Reli TanzaniaNdege (mnyama)GTaswira katika fasihiFananiInjili ya YohaneKiingerezaAbrahamuVivumishi vya idadiKatibuFigoPesaChombo cha usafiriMalawiInsha ya wasifuKiboko (mnyama)FonetikiTovutiUkimwiHadithi za Mtume MuhammadPink FloydUyahudiUandishi wa ripotiUfufuko wa YesuNgoziAlfabetiAina za ufahamuWanyamweziKipindupinduSiafuBikira MariaKUti wa mgongoMuungano wa Tanganyika na ZanzibarAKichomi (diwani)MzeituniKisononoKupatwa kwa Jua🡆 More