Aizawl ni jina la mji mkuu wa jimbo la Mizoram katika Uhindi.
Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mnamo mwaka wa 2001, mji una wakazi wapatao 230,000 wanaoishi katika mji huu. Mji upo m 1132 kutoka juu ya usawa wa bahari.
Aizawl | |
Mahali pa mji wa Aizawl katika Uhindi | |
Majiranukta: 23°25′0″N 92°25′0″E / 23.41667°N 92.41667°E | |
Nchi | Uhindi |
---|---|
Jimbo | Mizoram |
Wilaya | Aizawl |
Idadi ya wakazi | |
- Wakazi kwa ujumla | 228,280 |
Tovuti: aizawl.nic.in |
Makala hii kuhusu maeneo ya Uhindi bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Aizawl kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
This article uses material from the Wikipedia Kiswahili article Aizawl, which is released under the Creative Commons Attribution-ShareAlike 3.0 license ("CC BY-SA 3.0"); additional terms may apply (view authors). Maudhui yanapatikana kwa chini ya CC BY-SA 4.0 isipokuwa iwe imebainishwa vinginevyo. Images, videos and audio are available under their respective licenses.
®Wikipedia is a registered trademark of the Wiki Foundation, Inc. Wiki Kiswahili (DUHOCTRUNGQUOC.VN) is an independent company and has no affiliation with Wiki Foundation.