Adama Barrow

Adama Barrow (*16 Februari 1965) ni rais wa Gambia na mwanasiasa wa chama cha United Democratic Party.

Adama Barrow
Adama Barrow
binadamu
Jinsiamume Hariri
Nchi ya uraiaGambia Hariri
Jina katika lugha mamaAdama Barrow Hariri
Jina halisiAdama Hariri
Jina la familiaBarrow Hariri
Tarehe ya Kuzaliwa15 Februari 1965 Hariri
Mahali alipozaliwaMansajang Kunda Hariri
MwenziFatoumatA BAH Hariri
Lugha zinazozungumzwa, zilizoandikwa au zilizotiwa sahihiKifulfulde-Borgu, Kiingereza Hariri
Kazipolitician, treasurer Hariri
Nafasi ilioshikiliwaPresident of the Gambia Hariri
Mwanachama wa chama cha siasaUnited Democratic Party, National Reconciliation Party, National People's Party Hariri
Candidacy in election2016 Gambian presidential election Hariri
DiniUislamu Hariri
Tuzo iliyopokelewaOrder of the Republic of The Gambia Hariri
Adama Barrow
Adama Barrow (2016)

Utoto na shule

Barrow alizaliwa katika kijiji cha Mankamang Kunda karibu na Basse. Alisoma shule ya msingi Koba Kunda na shule ya sekondari Crab Island mjini Banjul. Baadaye alipata nafasi kwenye Muslim High School ya Banjul.

Kazi

Baada ya kufaulu aliajiriwa na kampuni ya Alhagie Musa & Sons na akapandishwa cheo hadi kuwa muuzaji mkuu.

Baada ya mwaka 2000 Barrow alihamia London aliposoma uchumi. Wakati huu alifanya kazi ya usiku kama mlinzi wa nyumba kwa kujipatia riziki.

Baada ya kurudi Gambia mwaka 2006 alianzisha kampuni ya Majum Real Estate akawa meneja mkuu hadi sasa.

Siasa

Mwaka 2016 Barrow alichaguliwa kuwa mgombea wa urais katika mkutano wa vyama 7 vya upinzani.

Tarehe 2 Desemba 2016 Barrow alishtusha taifa kwa kumshinda Yammeh katika uchaguzi wa urais kwa kupata kura 263,000 au asilimia 45 za kura zote dhidi ya kura 212,000 au asilimia 36 kwa rais Yahya Jammeh. Mgombea wa tatu Mama Kandeh alipata asilimia 17.

Kwanza Rais Yahya Jammeh alikubali kushindwa hata kabla ya tangazo rasmi la matokeo, lakini siku nane baadaye alianza kung'ang'ania madaraka.

Kufuatana na katiba rais Adama Barrows alitakiwa kuapishwa takribani siku 60 baada ya uchaguzi., lakini tarehe 9 Disemba 2016 rais Jammeh alitangaza ya kwamba hakubali matokeo akitaka uchaguzi mpya.

Tarehe 19 Januari 2017, rais mteule aliapishwa katika ubalozi wa Gambia huko Dakar, halafu wanajeshi wa Senegal, Nigeria na Ghana walivamia nchi ili kumuondoa madarakani kwa idhini ya Umoja wa Mataifa.

Mnamo Novemba 2021, Adama Barrow alitangaza kugombea tena nafasi ya uraisi mwaka 2024.

Marejeo

Adama Barrow  Makala hii kuhusu mwanasiasa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Adama Barrow kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.

Tags:

Adama Barrow Utoto na shuleAdama Barrow KaziAdama Barrow SiasaAdama Barrow MarejeoAdama Barrow16 Februari1965Chama cha kisiasaGambiaMwanasiasaRais

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

RafikiHoma ya iniKitenziAlasiriMkanda wa jeshiNelson MandelaHadithiMapafuUwanja wa Taifa (Tanzania)Hekaya za AbunuwasiDiego GraneseSteven KanumbaMuundo wa inshaJakaya KikweteSaida KaroliUkristoInshaTaifa StarsNomino za jumlaHarmonizeKiambishi awaliLenziUandishiIsraelMnjugu-mawePunyetoJinsiaMkoa wa TangaMadawa ya kulevyaUbongoTetekuwangaUtegemezi wa dawa za kulevyaKumaMwanamkeMfumo wa mzunguko wa damuKiumbehaiDakuMbeya (mji)Ufufuko wa YesuSerikaliTheluthiNgono KavuAli KibaKiboko (mnyama)Lugha ya kwanzaOrodha ya vitabu vya BibliaBaraza la mawaziri TanzaniaMbonoKenyaMkoa wa MbeyaLionel MessiVita ya Maji MajiMaghaniUpinde wa mvuaHerufi za KiarabuMapambano ya uhuru TanganyikaSitiariKiambishi tamatiViwakilishiNyanja za lughaKoalaNamibiaSimbaMikoa ya TanzaniaKamusi ya Kiswahili sanifuNileDuniaTowashiHistoria ya KanisaMatumizi ya LughaMobutu Sese SekoChris Brown (mwimbaji)Mkopo (fedha)🡆 More