Yesu Kuzaliwa Na Bikira

Yesu kuzaliwa na Bikira ni fundisho la imani linalosema kuwa Yesu Kristo alitungwa tumboni mwa mama yake, Bikira Maria, kwa uwezo wa Mungu (Roho Mtakatifu) tu, na kuwa Maria alipomzaa alikuwa bado bikira.

Yesu Kuzaliwa Na Bikira
Maria "Kupashwa Habari" kadiri ya Guido Reni, 1621.
Mfululizo wa kurasa juu ya Yesu
Jesus
Yesu Kristo na Ukristo

Umwilisho  • Utoto wa Yesu  • Ubatizo
Arusi ya Kana • Utume wa Yesu • Mifano ya Yesu  • Miujiza ya Yesu
Kugeuka sura • Karamu ya mwisho • Msalaba wa Yesu  • Maneno saba
Kifo cha Yesu  • Ufufuko wa Yesu
Kupaa mbinguni  • Ujio wa pili
Injili  • Majina ya Yesu katika Agano Jipya  • Yesu kadiri ya historia  • Tarehe za maisha ya Yesu • Kristolojia

Mazingira ya Yesu

Wayahudi • Kiaramu • Bikira Maria • Yosefu (mume wa Maria) • Familia takatifu • Ukoo wa Yesu • Ndugu wa Yesu • Yohane Mbatizaji

Mitazamo juu ya Yesu

Mitazamo katika Agano Jipya · Mitazamo ya Kikristo • Mitazamo ya Kiyahudi • Mitazamo ya Kiislamu • Yesu katika sanaa

Katika Biblia ya Kikristo fundisho hilo linapatikana katika Injili mbili zilizo tofauti hata kwa vyanzo katika uzazi na utoto wa Yesu: Math 1:18-25 na Lk 1:26-38.

Mathayo anathibitisha hilo kwa kutaja utabiri wa maneno ya Isa 7:14 katika tafsiri ya Kigiriki ya Septuaginta: "Tazama bikira atachukua mimba, naye atazaa mwana, nao watamwita jina lake Emmanuel, yaani Mungu pamoja nasi".

Fundisho hilo linashikiliwa na madhehebu karibu yote ya Ukristo, hasa Wakatoliki, Waorthodoksi na Waorthodoksi wa Mashariki.

Hata Waislamu wanakubali fundisho hilo kutokana na Kurani, hasa sura 3 (Al Imran) na 19 (Maryam (sura)).

Tofauti na mafundisho mengine

Mara nyingine fundisho hilo linachanganywa na mengine tofauti, kama vile utakatifu usio na doa wa Mariana ubikira wa kudumu aliokuwa nao maisha yake yote

Picha

Tanbihi

Marejeo

  • anon. "Virgin Birth". 
  • . 
  • . 
  • . 
  • . 
  • . 
  • . 
  • . 
  • . 
  • . 
  • . 
  • . 
  • . 
  • . 

Marejeo mengine

  • Gromacki, Robert G. The Virgin Birth: Doctrine of Deity. Grand Rapids, Mich.: Baker Book House, 1981, cop. 1974. 202 p. ISBN 0-89010-3765-4
Yesu Kuzaliwa Na Bikira  Makala hii kuhusu dini ya Ukristo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Yesu kuzaliwa na Bikira kama historia yake, matokeo au athari zake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.

Tags:

Yesu Kuzaliwa Na Bikira Tofauti na mafundisho mengineYesu Kuzaliwa Na Bikira PichaYesu Kuzaliwa Na Bikira TanbihiYesu Kuzaliwa Na Bikira MarejeoYesu Kuzaliwa Na Bikira Marejeo mengineYesu Kuzaliwa Na BikiraBikiraBikira MariaImaniMamaMunguRoho MtakatifuYesu Kristo

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

Ngome ya YesuKoalaMisimu (lugha)WakingaMkoa wa MtwaraSodomaWimbo wa Jumuiya ya Afrika MasharikiLongitudoSayansiKipimajotoNelson MandelaKunguniNyweleSensaAUsultani wa ZanzibarVisakaleFacebookRafikiBonde la Ufa la Afrika ya MasharikiNgw'anamalundi (Mwanamalundi)Orodha ya milima mirefu dunianiSilabiZuchuJamiiMwanga wa juaMsituUkraineVirusi vya UKIMWIUtumwaMnjugu-maweSentensiOrodha ya viwanja vya ndege nchini TanzaniaTabianchi ya TanzaniaDodoma (mji)Karne ya 20Wabena (Tanzania)SheriaTheluthiBaraza la mawaziri TanzaniaVielezi vya mahaliIsaMaharagweVUenezi wa KiswahiliFIFAMkoa wa GeitaVivumishi vya idadiMalariaKishazi huruIsraeli ya KaleFalsafaVivumishiMaambukizi ya njia za mkojoInjili ya YohaneKamusiNadhariaMkoa wa MorogoroMkoa wa PwaniKipandausoNembo ya TanzaniaAla ya muzikiVladimir PutinFonetikiUkomeshaji wa Biashara ya WatumwaVivumishi vya ambaMlongeJulius NyerereAmri KumiJumuiya ya MadolaKisimaFani (fasihi)NandyMziziTungo kishazi🡆 More