Tumbusi

Nusufamilia 2, jenasi 9 za tumbusi:

Tumbusi
Tumbusi uso-njano
Tumbusi uso-njano
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Animalia (Wanyama)
Faila: Chordata (Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)
Ngeli: Aves (Ndege)
Oda: Accipitriformes (Ndege kama vipanga)
Familia: Accipitridae (Ndege walio na mnasaba na vipanga)
Vieillot, 1816
Ngazi za chini

Tumbusi au tai mzoga ni ndege wakubwa wa nusufamilia Aegypiinae na Gypaetinae katika familia Accipitridae ambao hula mizoga. Wana mnasaba na tai. Huko Amerika kuna ndege wafananao na tumbusi, lakini wale hawana mnasaba sana na huwekwa katika familia Cathartidae. Tumbusi huvumbua mizoga kwa macho, lakini wale wa Marekani wananusa vizuri pia.

Spishi nyingi za tumbusi zina kichwa bila manyoya. Sifa bainifu hii imekua kuzuia manyoya ya kichwa yasichafuliwe kwa damu wakati tumbusi akiingiza kichwa chake ndani ya mzoga. Kichwa chenye upara kinaweza kusafishwa kwa urahisi ndani ya mto au ziwa.

Spishi za Afrika

Spishi za mabara mengine

Picha

Tags:

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

MuhammadSwalaMbossoInsha za hojaTamthiliaMoscowLigi Kuu Tanzania BaraInshaMashuke (kundinyota)WarakaMaana ya maishaWhatsAppVitamini CMsitu wa AmazonUKUTAMarekaniJohn MagufuliMkoa wa KataviDuniaWilaya ya ArushaNahauSamakiLeonard MbotelaKipazasautiMapambano ya uhuru TanganyikaAfrika ya Mashariki ya KijerumaniSimbaNg'ombe (kundinyota)Shukuru KawambwaKoroshoMbuniUtumwaMsokoto wa watoto wachangaSodomaZiwa ViktoriaBibliaHisiaTenzi tatu za kaleUhifadhi wa fasihi simuliziWasukumaHekaya za AbunuwasiAfrika Mashariki 1800-1845Java (lugha ya programu)Mfumo wa mmeng'enyo wa chakulaNikki wa PiliSah'lomonPentekosteMwanza (mji)Muungano wa Tanganyika na ZanzibarUandishi wa inshaSiasaAlama ya barabaraniRaiaFamiliaMkoa wa MbeyaDhima ya fasihi katika maishaUenezi wa KiswahiliMfuko wa Mawasiliano kwa WoteTungo kiraiLugha za KibantuMkoa wa RuvumaMapinduzi ya ZanzibarChumba cha Mtoano (2010)vvjndUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaUpendoUlumbiMmeaAsidiUkabaila🡆 More