Tali ni elementi. Namba atomia yake ni 81 kwenye mfumo radidia na uzani atomia ni 204.3833. Jina limepatikana kutoka kwa Kigiriki θαλλος thallos „chipuko bichi“ au „chipuko chenye rangi ya kijani" kutokana na rangi ya kijani ya moto kama tali imo.
Tali (thallium) | |
---|---|
Vipande vya Tali katika testitubu | |
Jina la Elementi | Tali (thallium) |
Alama | Tl |
Namba atomia | 81 |
Mfululizo safu | Metali |
Uzani atomia | 204.3833 |
Valensi | 2, 8, 18, 32, 18, 3 |
Densiti | 11.85 g/cm³ |
Ugumu (Mohs) | {{{ugumu}}} |
Kiwango cha kuyeyuka | 577 K (304 °C) |
Kiwango cha kuchemka | 1746 K (1473 °C) |
Asilimia za ganda la dunia | 3 · 10-5 % |
Hali maada | mango |
Mengineyo | Isotopi ya kawaida ina kiwango kidogi cha unururifu |
Ni metali laini sana kama metali ya risasi tena sumu sana yenye rangi ya kijivu. Hupatikana hasa katika ardhi mbalimbali pamoja na kali (potasiamu).
Tali iliwahi kutumiwa kama sumu ya panya lakini imeshapigwa marufuku katika nchi nyingi kwa sababu ni hatari mno kwa binadamu.
Ina matumizi katika vyoo vya pekee na kama kiungo katika vipitisho vya umeme.
Makala hii kuhusu mambo ya kemia bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Tali kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
This article uses material from the Wikipedia Kiswahili article Tali, which is released under the Creative Commons Attribution-ShareAlike 3.0 license ("CC BY-SA 3.0"); additional terms may apply (view authors). Maudhui yanapatikana kwa chini ya CC BY-SA 4.0 isipokuwa iwe imebainishwa vinginevyo. Images, videos and audio are available under their respective licenses.
®Wikipedia is a registered trademark of the Wiki Foundation, Inc. Wiki Kiswahili (DUHOCTRUNGQUOC.VN) is an independent company and has no affiliation with Wiki Foundation.