Matamshi

Matamshi (kutoka kitenzi kutamka) ni namna au jinsi watu wanasema hali halisi maneno ya lugha fulani, ambayo inaweza kuwa tofauti na namna ya kuandika neno.

Utafiti wa utamshi au utamkaji ni kazi ya somo la fonetiki, tawi mojawapo la isimu.

Matamshi
Sehemu zinazohusika na matamshi.

Matamshi yanaweza kutofautiana kati ya eneo na eneo, na hata kati ya mtu na mtu kulingana na alikoishi utotoni, makazi yake ya sasa, shida katika kutoa sauti, kabila, dini, tabaka la kijamii, elimu n.k.

Pengine tofauti hizo husababisha lahaja.

Tanbihi

Matamshi  Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Matamshi kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.

Tags:

FonetikiIsimuKitenziLughaNeno

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

Ugonjwa wa kuharaOrodha ya viwanja vya michezo TanzaniaKiboko (mnyama)KlamidiaNyangumiHistoria ya TanzaniaMamba (mnyama)TabianchiKukiOrodha ya milima mirefu dunianiMuundo wa inshaKumaTungo kishaziMandhariAnwaniHekimaJumuiya ya MadolaSaratani ya mapafuLigi Kuu Tanzania BaraMsumbijiMjusi-kafiriNdovuMkoa wa MwanzaJiniJeraha la motoSimbaKitenzi kikuu kisaidiziUandishi wa inshaOrodha ya Watakatifu WakristoUti wa mgongoLuhaga Joelson MpinaMfumo wa mzunguko wa damuViwakilishiPasaka ya KikristoMkoa wa LindiViwakilishi vya pekeeMapenziVitenzi vishirikishi vikamilifuNembo ya TanzaniaOrodha ya vitabu vya BibliaBarua pepeUhakikiEe Mungu Nguvu YetuYohane MbatizajiHussein KaziBabeliMbuniMamaViwanja vya Afrika (Kwa Ukubwa)IniGoviWakingaToharaRostam Abdulrasul AzizMichoro ya KondoaKiimboDNAOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoMkoa wa Dar es SalaamJamiiMagonjwa ya kukuHekayaNgano (hadithi)KiingerezaBendera ya KenyaHistoria ya AfrikaSaa za Afrika MasharikiOrodha ya visiwa vya TanzaniaKipindupinduUpinde wa mvuaAfrika ya MasharikiKaramaHifadhi ya mazingiraShinikizo la ndani ya fuvuLuka ModricJux🡆 More