Bunge La Afrika Mashariki

Bunge la Afrika Mashariki (kwa Kiingereza: East African Legislative Assembly, kifupi: EALA) ni chombo cha Jumuia ya Afrika Mashariki kwa kutunga sheria.

Wabunge wanahudumu kwa miaka mitano.

Bunge La Afrika Mashariki
Rais wa Tanzania Jakaya Kikwete akihutubia Bunge.

Bunge lilianzishwa tarehe 30 Novemba 2001.

Bunge la nne lina wajumbe 62, yaani 9 kwa kila nchi mwanachama, wakichaguliwa na bunge la nchi husika namna ya kuwakilisha kweli taifa lote, na wengine 8 kutokana na wadhifa wao. Spika ni Martin Ngoga kutoka Rwanda.

Tanbihi

Tags:

Jumuia ya Afrika MasharikiKifupiKiingerezaSheriaWabunge

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

Mkoa wa RuvumaWikipedia ya KiswahiliDesturiFacebookKilimanjaro (volkeno)BaruaOrodha ya mikoa ya Tanzania na Pato la TaifaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoTungo kishaziBahashaMadiniUgonjwaLil WayneKataOrodha ya Magavana wa TanganyikaMapambano ya uhuru TanganyikaMapenziAnthropolojiaRushwaVita ya AbushiriNomino za kawaidaViwakilishi vya kumilikiStadi za lughaShinikizo la juu la damuJinsiaMuungano wa Madola ya AfrikaMziziBawasiriOrodha ya vyama vya siasa TanzaniaUkoloniHoma ya matumboSemiHistoria ya KanisaTeknolojiaDubuZiwa ViktoriaVivumishi vya -a unganifuKibu DenisMohamed HusseinUfupishoPijiniMisemoMfumo wa JuaMashine22 ApriliMbuniOrodha ya miji ya TanzaniaMaudhui katika kazi ya kifasihiKinywajiKamusi Hai ya Kiswahili MtandaoniUkomeshaji wa Biashara ya WatumwaWangoniUmoja wa AfrikaMandhariKiini cha atomuLisheNusuirabuAkiliUhuru wa TanganyikaKipazasautiLugha rasmiNzigeVivumishiMlo kamiliGeorge WashingtonEe Mungu Nguvu YetuWikipediaFonolojiaHeshimaNyanda za Juu za Kusini TanzaniaFutiJoseph Leonard HauleViwakilishi vya urejeshiBlogu🡆 More