Radoni (kut. kilatini "radius" (mshale) kwa sababu ya unururifu wake) ni elementi yenye namba atomia 86 na uzani wa atomi 222. Alama yake ni Rn.
Radoni | |
---|---|
mizingo elektroni ya atomi ya radoni | |
Jina la Elementi | Radoni |
Alama | Rn |
Namba atomia | 86 |
Mfululizo safu | Gesi adimu |
Uzani atomia | 222 |
Ugumu (Mohs) | {{{ugumu}}} |
Kiwango cha kuyeyuka | (202 K (−71.15 °C) |
Kiwango cha kuchemka | 211.3 K (−61.85 °C) |
Asilimia za ganda la dunia | 6 · 10-16 % |
Hali maada | gesi |
Radoni ni kati ya gesi adimu hivyo haimenyuki na elementi nyingine.
Si elementi ya kudumu kutokana na unururifu wake na nusumaisha yake ni siku 3.8 pekee. Inajitokeza mara kwa mara kutokana na mbunguo wa Radi.
Ni gesi nzoto hivyo haipandi sana juu kwenye angahewa bali kukaa chini. Hii ni sababu ya kwamba hukunsayika polepole ndani ya nyumba ambako madirisha na milango haifunguliwi. Hapa unururifu inaweza kuwa hatari ya afya.
Makala hii kuhusu mambo ya kemia bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Radoni kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
This article uses material from the Wikipedia Kiswahili article Radoni, which is released under the Creative Commons Attribution-ShareAlike 3.0 license ("CC BY-SA 3.0"); additional terms may apply (view authors). Maudhui yanapatikana kwa chini ya CC BY-SA 4.0 isipokuwa iwe imebainishwa vinginevyo. Images, videos and audio are available under their respective licenses.
®Wikipedia is a registered trademark of the Wiki Foundation, Inc. Wiki Kiswahili (DUHOCTRUNGQUOC.VN) is an independent company and has no affiliation with Wiki Foundation.