Mgawanyiko

Katika hisabati, mgawanyiko (kwa Kiingereza: division) ni moja ya uendeshaji wa hesabu nne (pamoja na jumla, utoaji na dharuba).

Mgawanyiko ni kinyume cha dharuba. Alama ya mgawanyiko ni "/" au ""

Mgawanyiko
Alama ya mgawanyiko
Mgawanyiko
Mfano wa 20/4 = matofaa 5.

Kwa usahihi, mgawanyiko ni mchakato wa kuhesabu idadi ya mara ambazo namba fulani inapatikana ndani ya namba nyingine. Kwa mfano, 20/4 = 5 kwa sababu tunaweza kuweka namba "4" mara tano ndani ya namba "20".

Marejeo

  • Kinyondo, A. R. Mazoezi ya hisabati kwa kadi. Dar es Salaam University Press.
Mgawanyiko  Makala hii kuhusu mambo ya hisabati bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mgawanyiko kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.

Tags:

AlamaDharubaHesabuHisabatiJumlaKiingerezaUtoaji

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

PasakaMkanda wa jeshiJamhuri ya Kidemokrasia ya KongoInternet Movie DatabaseNileKamusi za KiswahiliWimbo wa Jumuiya ya Afrika MasharikiMaziwa ya mamaAfro-Shirazi PartyKiswahiliMkoa wa NjombeKomaHaki za watotoKisaweHistoriaDNAHekaya za AbunuwasiMmeaOrodha ya Magavana wa TanganyikaMwana FAMilki ya OsmaniMkoa wa GifuVielezi vya mahaliSafaricomManaBendera ya TanzaniaUtamaduniJeshi la Ulinzi la Wananchi wa TanzaniaOrodha ya nchi za Afrika kulingana na pato la taifaMofolojiaMaana ya maishaMazingiraFamiliaDemokrasia ya moja kwa mojaKiambishi awaliMshororoMkoa wa DodomaHistoria ya SudanKuzimuLigi ya Mabingwa AfrikaKitabu cha ZaburiAina za manenoOrodha ya Watakatifu wa AfrikaMaajabu ya duniaQueen SendigaMlo kamiliZinedine ZidaneWanyaturuWanyakyusaKifupiVivumishi vya urejeshiTarakilishiAsili ya KiswahiliMhandisiTafsiriPesaStadi za maishaWakingaMaambukizi nyemeleziUmaskiniDesturiQJoash OnyangoWCB WasafiNjoziMsamiatiSayariMrisho MpotoKinyakyusaAkili ya binadamuMwanaumeKitabu cha Yoshua bin SiraNg'ombeWayahudiBiblia ya Kikristo🡆 More