Mbunge

Mbunge ni mwakilishi wa wananchi katika bunge.

Mbunge
Wabunge nchini Misri mwaka 1975

Katika nchi mbalimbali anawakilisha hasa wale wa jimbo kililomchagua.

Mara nyingi kuna wabunge wa kuchaguliwa na wale wa kuteuliwa.

Nchini Tanzania

Sehemu ya katiba ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania inasema: “Sehemu ya pili ya Bunge itakuwa ndicho chombo kikuu cha Jamhuri ya Muungano ambacho kitakuwa na madaraka, kwa niaba ya wananchi, kuisimamia na kuishauri Serikali ya Jamhuri ya Muungano na vyombo vyake vyote katika utekelezaji wa majukumu yake kwa mujibu wa katiba hii”

Ibara ya 63(2), pia na Ibara ya 64(1) inaelezea kazi za Bunge, juu ya kutunga sheria.

Tags:

BungeMwakilishi

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

Idi AminFasihi simuliziMfumo wa mzunguko wa damuSimbaSumakuKanga (ndege)Jose ChameleoneUandishi wa ripotiLongitudoBiashara ya watumwaVielezi vya mahaliMaktabaMfuko wa Taifa wa Hifadhi ya JamiiGeorDavieKiingerezaSamia Suluhu HassanIniMalariaKitenzi kikuuNdiziKongoshoMajira ya mvuaKoroshoBaruaNg'ombe (kundinyota)Ndege (mnyama)MnyamaMkoa wa Dar es SalaamKiimboHistoriaMiundombinuMange KimambiIkwetaVielezi vya idadiVita Kuu ya Kwanza ya DuniaOrodha ya miji ya TanzaniaMapambano kati ya Israeli na PalestinaMillard AyoManispaaMzabibuMwaniBonde la Ufa la Afrika ya MasharikiRicardo KakaPijini na krioliOrodha ya milima ya AfrikaStashahadaOrodha ya mito nchini TanzaniaAfrika ya Mashariki ya KijerumaniBaraSayansi ya jamiiNabii EliyaKiolwa cha anganiMziziUkabailaMpira wa miguuRose MhandoHoma ya matumboOrodha ya kampuni za TanzaniaKamusi za KiswahiliKigoma-UjijiMandhariVidonge vya majiraNgw'anamalundiAlama ya barabaraniRisalaMajina ya Yesu katika Agano JipyaNyaniMkoa wa RuvumaKhadija KopaBendera ya TanzaniaPapaJokofuMachweoHadithi za Mtume MuhammadMsokoto wa watoto wachangaInsha ya wasifu🡆 More