Kitabu Pepe

Kitabu pepe (kwa Kiingereza: electronic book au e-book) ni kitabu kinachopatikana kwenye umbo la tarakimu na kusomwa katika tarakilishi, hasa kupitia intaneti.

Kitabu Pepe
Kitabu pepe cha Amazon kinaitwa "Kindle 3".

Zinapatikana pia maktaba pepe ambamo inawezekana kukuta, kuchagua na kusoma vitabu vingi.

Marejeo

  • Kahigi, K. K. (2007). Ujanibishaji wa Office 2003 na Windows XP kwa Kiswahili Sanifu. Kioo cha Lugha, 5(1).
Kitabu Pepe  Makala hii kuhusu mambo ya teknolojia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu mada hiyo kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.

Tags:

IntanetiKiingerezaKitabuTarakilishiTarakimuUmbo

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

Rita wa CasciaMjombaWasukumaHuduma ya kwanzaArudhiP. FunkMofimuOrodha ya viwanja vya michezo TanzaniaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoLahaja za KiswahiliHadhiraZiwa ViktoriaKaterina wa SienaTafsiriNyanda za Juu za Kusini TanzaniaAbedi Amani KarumeKumamoto, KumamotoAfrika ya Mashariki ya KijerumaniUkoloniKapteniUsawa (hisabati)MbogaSeduce MeKarafuuVihisishiOrodha ya Makamu wa Rais TanzaniaWamasaiTaswira katika fasihiViwakilishi vya idadiJanuary MakambaNg'ombeKen Waliboraec4tgMatumizi ya lugha ya KiswahiliInsha ya wasifuSanaa za maoneshoVivumishi vya kumilikiPiramidi za GizaTelevisheniUmoja wa KisovyetiSaratani ya mlango wa kizaziUhalifu wa kimtandaoKishazi tegemeziSanaaMafuta ya petroliSaidi Salim BakhresaKomaTanganyika (ziwa)Mfumo wa mmeng'enyo wa chakulaMajiMkoa wa RukwaMwanzoSoko la watumwaOrodha ya milima mirefu dunianiWilaya ya IlalaBogaMsamiatiOrodha ya majimbo ya MarekaniBahashaLongitudoUgonjwa sugu wa njia za pumzi zilizofunganaKatekisimu ya Kanisa KatolikiRedioJamhuri ya Watu wa ChinaYordaniMnazi (mti)TanzaniaWilaya ya NyamaganaMagonjwa ya kukuDhorubaMasafa ya mawimbiJinaHektariDully Sykes🡆 More