Kaluta Amri Abeid

Shekhe Kaluta Amri Abeid (mkoa wa Kigoma, 1924 - 1 Januari 1964) alikuwa meya wa kwanza Mwafrika na mwanasiasa pamoja na mhubiri wa dini.

Kwa jina la utani la kishairi alikuwa akijulikana kama Adili, lakini katika kipindi cha utoto wake baba yake alipenda kumuita kwa jina la Simba wa Lumona , kama ilivyo kwa washairi wengi kutumia majina ya utani au lakabu.

Baba yake alijulikana kama Abeid Kaluta na mama yake alijulikana kama Joha Kakolwa,

Uwanja maarufu wa mpira katika mkoa wa Arusha hujulikana kama uwanja wa kumbukumbu wa Shekhe Amri Abeid, ni uwanja ulopewa jina la mwanasiasa na mshairi huyu mkubwa nchini Tanzania .

Tanbihi

Tags:

1 Januari19241964DiniMeyaMkoa wa KigomaMwafrikaMwanasiasa

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

AlomofuKanisa la Kiinjili la Kilutheri TanzaniaBabeliWadatogaMakabila ya IsraeliZiwa ViktoriaOrodha ya Marais wa ZanzibarDivaiDodoma (mji)HalmashauriMavaziOrodha ya miji ya TanzaniaUchumiMarie AntoinetteMkoa wa MwanzaOrodha ya Marais wa TanzaniaUjimaKiambishi awaliChuo Kikuu cha DodomaUandishi wa ripotiDubai (mji)Kinembe (anatomia)ChakulaMafarisayoOrodha ya Magavana wa TanganyikaUtamaduni wa KitanzaniaImaniKata za Mkoa wa Dar es SalaamMuhimbiliTafsiriMhandisiKimara (Ubungo)Historia ya KiswahiliHadhiraTiktokAlama ya barabaraniGongolambotoWilayaKaaAbrahamuUkoloniLugha ya taifaUfisadiMbooBendera ya KenyaUgonjwa wa kuambukizaMnyoo-matumbo MkubwaNduniOrodha ya kampuni za TanzaniaWabunge wa kuteuliwaKiboko (mnyama)Mtakatifu PauloSentensiSimba (kundinyota)NetiboliFacebookBata MzingaKibu DenisSarangaWachaggaWahaAina za udongoMkoa wa IringaNomino za jumlaMsokoto wa watoto wachangaOrodha ya Makamu wa Rais TanzaniaZuhuraWazigula🡆 More