Jamhuri ya Roma ilikuwa kipindi cha Roma ya Kale ambako mji na milki yake ilitawaliwa kwa mfumo wa jamhuri.
Kipindi hiki kilianzia baada ya kufukuzwa kwa mfalme wa mwisho mwaka 509 KK na kwisha katika mabadiliko ya serikali wakati wa Caesar na Augusto.
Wakati wa jamhuri Waroma walifuata mfumo ufuatao:
Cheo kimoja cha dikteta pekee kilishikwa na mtu mmoja lakini muda wake kilibanwa kuwa miezi sita tu.
Mfumo huu ulilenga kuzuia kurudi kwa wafalme au kumpa mtu yeyote madaraka yaliyolingana na mfalme.
Makala hii kuhusu mambo ya kihistoria bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Jamhuri ya Roma kama enzi zake au matokeo yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
This article uses material from the Wikipedia Kiswahili article Jamhuri ya Roma, which is released under the Creative Commons Attribution-ShareAlike 3.0 license ("CC BY-SA 3.0"); additional terms may apply (view authors). Maudhui yanapatikana kwa chini ya CC BY-SA 4.0 isipokuwa iwe imebainishwa vinginevyo. Images, videos and audio are available under their respective licenses.
®Wikipedia is a registered trademark of the Wiki Foundation, Inc. Wiki Kiswahili (DUHOCTRUNGQUOC.VN) is an independent company and has no affiliation with Wiki Foundation.