Buenos Aires (kwa Kihisp.: "upepo mzuri") ni mji mkuu pia mji mkubwa wa Argentina wenye wakazi 2,776,234.
Jiji la Buenos Aires | |
Nchi | Argentina |
---|
Mji uko kando ya Río de la Plata kwenye pwani ya mashariki ya Amerika Kusini kwa 34°36′S na 58°23′W. Magharibi kwa Buenos Aires zinaanza tambarare zenye rutuba za pampa.
Makala hii kuhusu maeneo ya Argentina bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Buenos Aires kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
This article uses material from the Wikipedia Kiswahili article Buenos Aires, which is released under the Creative Commons Attribution-ShareAlike 3.0 license ("CC BY-SA 3.0"); additional terms may apply (view authors). Maudhui yanapatikana kwa chini ya CC BY-SA 4.0 isipokuwa iwe imebainishwa vinginevyo. Images, videos and audio are available under their respective licenses.
®Wikipedia is a registered trademark of the Wiki Foundation, Inc. Wiki Kiswahili (DUHOCTRUNGQUOC.VN) is an independent company and has no affiliation with Wiki Foundation.