Anemia (kutoka Kiingereza; katika lugha hiyo inaandikwa pia anaemia) ni ugonjwa wa kukosa idadi ya kutosha ya seli nyekundu za damu (upungufu wa hemoglobini katika damu).
Anemia | |
---|---|
Mwainisho na taarifa za nje | |
Pronunciation |
|
Specialty | Hematology |
ICD-10 | D50.-D64. |
ICD-9 | 280-285 |
DiseasesDB | 663 |
MedlinePlus | 000560 |
eMedicine | med/132 emerg/808 emerg/734 |
MeSH | D000740 |
Kwa lugha nyingine, anemia ni uwezo mdogo wa damu kusafirisha oksijeni mwilini.
Kama anemia inaanza polepole dalili zake mara nyingi ni dhaifu, zikiwa pamoja na uchovu, udhaifu na ugumu wa kupumua.
Anemia inayoanza ghafla ina dalili kali zaidi, zikiwa pamoja na kuchanganyikiwa akilini, kujisikia kama karibu na kupotea, ufahamu au kupotea ufahamu kweli, au kiuu kikali. Kama anemia imeendelea watu weupeweupe wanaweza kuonekana weupe zaidi kuliko kawaida; Waafrika mara nyingi huonyesha rangi ya njano chini ya kucha. Additional symptoms may occur depending on the underlying cause.
Kuna hasa aina 3 za anemia
Sababu za upotevu wa damu ni pamoja na jeraha, hasa jeraha ndani ya utumbo.
Sababu za upungufu wa uzalishaji wa seli nyekundu ni uhaba wa chuma, uhaba wa vitamini B12 na matatizo ndani ya uboho wa mifupa unaozalisha seli hizi.
Uharibifu wa seli nyekundu za damu husababishwa na anemia selimundu, magonjwa kama malaria na mengine
Makala hii kuhusu mambo ya tiba bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Anemia kama sababu yake au mahusiano yake na mada nyingine? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
This article uses material from the Wikipedia Kiswahili article Anemia, which is released under the Creative Commons Attribution-ShareAlike 3.0 license ("CC BY-SA 3.0"); additional terms may apply (view authors). Maudhui yanapatikana kwa chini ya CC BY-SA 4.0 isipokuwa iwe imebainishwa vinginevyo. Images, videos and audio are available under their respective licenses.
®Wikipedia is a registered trademark of the Wiki Foundation, Inc. Wiki Kiswahili (DUHOCTRUNGQUOC.VN) is an independent company and has no affiliation with Wiki Foundation.