Rangi Ya Manjano

Rangi ya manjano, manjano kwa kifupi au njano ni rangi inayofanana na ile ya unga wa manjano.

Ni rangi ya matunda mabivu kadhaa, kama vile chungwa (aina njano), papai, embe, ndizi n.k.

Rangi Ya Manjano
Rangi ya manjano.

Ni mojawapo ya rangi zitumikazo kwa kazi mbalimbali kama katika kuchora michoro mbalimbali na kadhalika.

Michoro hiyo inaweza kuwa ya kitu chochote kama vile: wanyama, wadudu, watu, mimea na hata vitu visivyo na uhai kama vile mawe, majengo n.k.

Hivi vyote katika kuvichora unaweza kutumia rangi mbalimbali kama rangi ya njano, kijaninyekundubluu, zambarau, kahawia na rangi nyinginezo.

Tags:

ChungwaEmbeManjanoMatundaNdiziPapaiRangiUnga

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

Fani (fasihi)MunguNduniKanga (ndege)Kiboko (mnyama)MuundoLafudhiWanyamaporiMamelodi Sundowns F.C.MafurikoAkiliElimuApple Inc.MazungumzoFacebookDNASahara ya MagharibiOrodha ya makabila ya TanzaniaMariooUrenoMavaziAli Hassan MwinyiMjasiriamaliTungoBiasharaKidole cha kati cha kandoLigi Kuu Tanzania BaraAgano la KaleSarufiMajigamboLiverpool F.C.Makabila ya IsraeliDiraBahari ya HindiStadi za maishaViwakilishiMfumo wa homoniKata (maana)Mkoa wa ManyaraOrodha ya Magavana wa TanganyikaMkoa wa MwanzaNetiboliMbaazi (mmea)MapafuRushwaAgano JipyaVivumishi vya sifaUrusiUtamaduniKitenzi kishirikishiSamia Suluhu HassanMohammed Gulam DewjiAthari za muda mrefu za pombeMnara wa BabeliMkoa wa IringaUjasiriamaliKishazi huruBinti (maana)Lionel MessiLakabuBibliaJohn Raphael BoccoKinyonga (kundinyota)Kina (fasihi)Shinikizo la juu la damuKadi za mialikoNungununguAbrahamuWilaya ya KaratuMashuke (kundinyota)Kombe la Dunia la FIFASaidi Salim BakhresaClatous Chama🡆 More