Wawindaji-wakusanyaji ni jina wanalopewa makundi ya watu wanaoishi bila kuzalisha chakula chao kwa njia ufugaji na kilimo kama ilivyozidi kuwa kawaida ya wengi tangu uzalishaji huo ulipoanza milenia kumi na mbili iliyopita.
Kwa kusongwa na wafugaji na wakulima, mara nyingi wawindaji-wakusanyaji wameishia katika maeneo yasiyofaa kwa uzalishaji, wanapoishi kwa kuhamahama, na wametazamwa na kudharauliwa kama watu wasioendelea, ingawa wanaweza kuwazidi wengine kwa maadili
Kwa sababu ya kujali usawa kati yao, Karl Marx aliita mtindo wao wa kuishi Ukomunisti wa awali.
Matarajio ya kuishi ni kufikia kwa wastani umri wa miaka 21-37 tu.
Kati ya makabila ya Afrika yaliyo maarufu kwa mtindo huo wa maisha wapo Wahadza wa mkoa wa Singida, Tanzania.
|archivedate=
(help)Makala hii kuhusu mambo ya utamaduni bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Wawindaji-wakusanyaji kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
This article uses material from the Wikipedia Kiswahili article Wawindaji-wakusanyaji, which is released under the Creative Commons Attribution-ShareAlike 3.0 license ("CC BY-SA 3.0"); additional terms may apply (view authors). Maudhui yanapatikana kwa chini ya CC BY-SA 4.0 isipokuwa iwe imebainishwa vinginevyo. Images, videos and audio are available under their respective licenses.
®Wikipedia is a registered trademark of the Wiki Foundation, Inc. Wiki Kiswahili (DUHOCTRUNGQUOC.VN) is an independent company and has no affiliation with Wiki Foundation.