Uvimbe Wa Ubongo

Uvimbe wa ubongo (kwa Kiingereza encephalitis) ni ugonjwa ambao husababisha ubongo kuvimba ghafla.

Kwa kawaida husababishwa na virusi, bakteria (kwa Kiingereza Granulomatous amoebic encephalitis), au vijidudu vingine. Kadiri ubongo unavyovimba, huweza kuharibiwa wakati unapokwaruzana na fuvu.

Uvimbe Wa Ubongo
Picha inayoonyesha uvimbe katika ubongo.

Uvimbe wa ubongo unaweza kusababisha dalili hatarishi kama vile kupata kifafa na kiharusi, na hii inaweza kuwa mbaya zaidi.

Mwaka 2013, ugonjwa wa uvimbe wa ubongo uliua watu 77,000 duniani.

Ishara na dalili

Kwa kawaida, watu wazima wenye ugonjwa wa uvimbe wa ubongo wana homa inayoanza ghafla, maumivu ya kichwa, kuchanganyikiwa, na wakati mwingine kifafa. Watoto wadogo au watoto wachanga wanaweza kuwa na hasira, hawataki kula, na hupatwa na homa.

Kwa kawaida wagonjwa huwa wanachoka sana au wanachanganyikiwa.

Tanbihi

Uvimbe Wa Ubongo  Makala hii kuhusu mambo ya tiba bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Uvimbe wa ubongo kama sababu yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.

Tags:

BakteriaFuvuKiingerezaUbongoUgonjwaVirusi

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

MariooAfrika ya MasharikiChombo cha usafiri kwenye majiOrodha ya vyama vya siasa TanzaniaMwanzoFasihiTanganyika African National UnionNenoMwaniAla ya muzikiAlasiriEdward SokoineUandishi wa ripotiVyombo vya habariVitenzi vishirikishi vikamilifuNimoniaMbossoUzalendoHistoria ya UrusiMitume wa YesuMilki ya OsmaniMwanaumeAina za manenoGeorDavieNgono KavuOrodha ya milima mirefu dunianiEthiopiaMabantuUkwapi na utaoPunyetoKomaTungo kishaziHedhiNyweleMfupaAndalio la somoSanaaPijini na krioliZana za kilimoLigi ya Mabingwa AfrikaAli KibaElimuItifakiMichezo ya watotoTarakilishiUnyenyekevuJay MelodyHeshimaKiwakilishi nafsiDar es SalaamUmoja wa MataifaMisemoMkoa wa MaraJamiiSanaa za maoneshoMawasilianoJamhuri ya Watu wa ZanzibarNidhamuKidoleZiwa ViktoriaKarne ya 20Vipaji vya Roho MtakatifuKanisa la Kiinjili la Kilutheri TanzaniaAmfibiaHomoniReli ya TanganyikaSkeliOrodha ya majimbo ya MarekaniMenoMzabibuUtumwaRwandaFigoFonolojia🡆 More