Maumivu ni jina la kutaja wimbo uliotungwa na Bob Junior akiwa na mwimbaji wa muziki wa hip hop ROMA.
Wimbo unazungumzia mtu anayejitia mwema ilhali si mwema. Wimbo umerekodiwa baada ya ahadi aliyoifanya ROMA mapema 2014 ya kwamba iwapo Brazili watafungwa katika michuano ya Kombe la Dunia, basi atatoka Tongwe Records na kuhamia Sharobaro Records kwa Bob Junior. Ahadi ameitimiza.
“Maumivu” | |||||
---|---|---|---|---|---|
Single ya Bob Junior akiwa na ROMA | |||||
Imetolewa | 14 Agosti 2014 | ||||
Imerekodiwa | 2014 | ||||
Aina | Hip Hop na Bongo Flava | ||||
Studio | Sharobaro Records | ||||
Mtunzi | Bob Junior ROMA | ||||
Mtayarishaji | Bob Junior | ||||
Mwenendo wa single za Bob Junior akiwa na ROMA | |||||
|
Makala hii kuhusu mwanamuziki fulani wa Afrika bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Maumivu kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
This article uses material from the Wikipedia Kiswahili article Maumivu, which is released under the Creative Commons Attribution-ShareAlike 3.0 license ("CC BY-SA 3.0"); additional terms may apply (view authors). Maudhui yanapatikana kwa chini ya CC BY-SA 4.0 isipokuwa iwe imebainishwa vinginevyo. Images, videos and audio are available under their respective licenses.
®Wikipedia is a registered trademark of the Wiki Foundation, Inc. Wiki Kiswahili (DUHOCTRUNGQUOC.VN) is an independent company and has no affiliation with Wiki Foundation.