Savana

Savana ni aina ya sura ya nchi yenye manyasi na kiasi kidogo cha miti ambacho kinategemea kiasi cha maji au mvua kinachopatikana.

Savana
Savana katika Mbuga ya Wanyama ya Tarangire, Tanzania
Savana
Savana mbele ya mlima Oldoinyo Lengai, upande wa Kenya

Tabia kuu ya savana ni uhaba wa maji. Tofauti na jangwa maji yapo ingawa kidogo. Kiwango cha kawaida cha mvua ni kati ya milimita 500 na 1500 kwa mwaka.

Savana ina wanyama wa pekee wanaomudu mazingira hayo. Wengi ni wala majani halafu kuna wala nyama wanaowinda wala majani.

Savana Makala hii kuhusu eneo fulani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu eneo hilo kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Je, unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.


Usitaje majina ya madiwani na viongozi au maafisa wengine wa sasa maana wanabadilika haraka mno.

Tags:

MajiManyasiMitiMvua

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

Mkoa wa MbeyaMamba (mnyama)IniViwakilishi vya pekeeNimoniaSaida KaroliPapaMazingiraAsili ya KiswahiliMikoa ya TanzaniaHomoniUmememajiFasihi andishiNdoaLigi Kuu Uingereza (EPL)Athari za muda mrefu za pombeRiwayavvjndMapambano ya uhuru TanganyikaWashambaaUtumwaUrusiWasukumaMavaziMbadili jinsiaTungo kiraiUchaguzi Mkuu wa Tanzania, 2020Mange KimambiRohoUfugajiUgonjwa wa kuharaYouTubeOrodha ya nchi kufuatana na wakaziSamakiAndalio la somoUshairiKifaruJinaNikki wa PiliHedhiMajeshi ya Ulinzi ya KenyaNileDiniUkristo barani AfrikaMartin LutherUpinde wa mvuaSabatoVitenzi vishiriki vipungufuKariakooMnara wa BabeliVivumishi vya urejeshiMvua ya maweShinikizo la juu la damuC++KongoshoHaki za wanyamaGeorDavieAfrika ya MasharikiTanganyika (maana)Maji kujaa na kupwaHekaya za AbunuwasiRisalaKiambishiDivaiDawatiHaki za binadamuUzazi wa mpangoAlama ya uakifishajiDalufnin (kundinyota)UchawiMbogaIsraeli ya KaleSarufiHafidh Ameir🡆 More