Spishi 2, nususpishi 5:
Nyumbu | ||||||||||||||||
---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
Nyumbu kidevu-cheupe magharibi (Connochaetes taurinus mearnsi) | ||||||||||||||||
Uainishaji wa kisayansi | ||||||||||||||||
| ||||||||||||||||
Ngazi za chini | ||||||||||||||||
|
Nyumbu (kwa Kiingereza: wildebeest) ni wanyamapori wakubwa wa jenasi Connochaetes katika familia Bovidae. Kwa asili jina hili lilitumika kwa nususpishi C. taurinus mearnsi na C. t. albojubatus, lakini siku hizi spishi na nususpishi zote za Connochaetes huitwa nyumbu.
Wanatokea savana za Afrika tu. Rangi yao ni nyeusi pengine na mng'aro buluu au kahawia.
Dume na jike wana pembe zenye umbo la zile za ng'ombe. Wanyama hawa hula nyasi fupi.
Ili kupata maelezo kuhusu masanduku ya uanapwa ya spishi angalia: Wiki: WikiProject Mammals/Article templates/doc.
Makala hii kuhusu mnyama fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Nyumbu kama uainishaji wake wa kibiolojia, maisha au uenezi wake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
This article uses material from the Wikipedia Kiswahili article Nyumbu, which is released under the Creative Commons Attribution-ShareAlike 3.0 license ("CC BY-SA 3.0"); additional terms may apply (view authors). Maudhui yanapatikana kwa chini ya CC BY-SA 4.0 isipokuwa iwe imebainishwa vinginevyo. Images, videos and audio are available under their respective licenses.
®Wikipedia is a registered trademark of the Wiki Foundation, Inc. Wiki Kiswahili (DUHOCTRUNGQUOC.VN) is an independent company and has no affiliation with Wiki Foundation.