Kimaore

Kimaore (au Shimaore) ni lugha ya Kibantu nchini Mayote inayozungumzwa na Wakomori.

Mwaka wa 1993 idadi ya wasemaji wa Kimaore kisiwani kwa Mayotte imehesabiwa kuwa watu 92,800. Pia kuna wasemaji 3000 nchini Madagaska na 1500 kisiwani kwa Reunion. Kufuatana na uainishaji wa lugha za Kibantu wa Malcolm Guthrie Kimaore iko katika kundi la G40, yaani iko karibu na Kiswahili.

Viungo vya nje

Kimaore  Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kimaore kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.

Tags:

1993KiswahiliLughaLugha za KibantuMadagaskaMalcolm GuthrieMayoteReunion

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

Afrika ya Mashariki ya KijerumaniZama za MaweUajemiHistoria ya UrusiTeknolojia ya habariFasihi andishiHarrison George MwakyembeWagogoMilaKombe la Mataifa ya AfrikaNyegereRitifaaKilimoFasihi simuliziNyumbaMajeshi ya Ulinzi ya KenyaOrodha ya majimbo ya MarekaniAndalio la somoIntanetiUkimwiPasaka ya KiyahudiJumuiya ya MadolaSiasaNairobiKitenzi kikuu kisaidiziProtiniDiniMwaniBustani ya wanyamaDuniaKanisa la Kiinjili la Kilutheri TanzaniaHekayaBiasharaAfrika Mashariki 1800-1845UgandaUenezi wa KiswahiliChakulaRaiaWellu SengoOrodha ya viongoziHoma ya iniBibliaWimbo wa Jumuiya ya Afrika MasharikiViwakilishi vya idadiJinsiaSeliWikipedia ya KirusiHarmonizeUongoziWamasaiMapafuMajiWimboAzimio la ArushaPamboTanganyika African National UnionMaumivu ya kiunoUandishi wa ripotiSentensiMamaMaharagweMariooMbossoImaniRayvannyUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaUzazi wa mpango kwa njia asiliaChuiOrodha ya shule nchini TanzaniaHistoria ya KiswahiliAntibiotikiEngarukaIsimuChombo cha usafiri kwenye majiMafumbo (semi)Thomas UlimwenguWilaya za Tanzania🡆 More