Kige'ez

Kige'ez (kwa maandishi ya Kiamhari: ግዕዝ; matamshi: gē-ĕz) ni lugha ya kale ya Ethiopia iliyozungumzwa zamani za ufalme wa Aksum.

Baadaye ilikuwa lugha ya kimaandishi nchini Ethiopia hadi karne ya 19 na hadi leo ni lugha ya liturgia katika kanisa la orthodoksi la Ethiopia.

Kige'ez
Ukurasa wa "wedase Maryam", kitabu cha maisha ya Maria inayoonyesha picha ya Maria na mtoto Yesu pamoja na maelezo yaliyoandikwa kwa Ge'ez

Huhesabiwa kati ya lugha za Kisemiti za kusini. Hutazamiwa kama lugha mama ya lugha za kisasa kama Kiamhari na Kitigrinya na Kitigre nchini Ethiopia na Eritrea.

Maandishi ya Kige'ez ni aina ya abugida yenye herufi 26 za konsonanti na 4 za vokali zinazounganishwa kuwa alama 202 kwa silabi zote zinazowezekana. Mifano ya kwanza inyojulikana ni kutoka karne ya 4 BK.

Tags:

EthiopiaKarne ya 19LiturgiaUfalme wa Aksum

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

JipuKiboko (mnyama)Hassan bin OmariVipera vya semiFisiJinaIdi AminKitubioUtegemezi wa dawa za kulevyaKanzuAbrahamuViwakilishiAbby ChamsJumuiya ya Afrika MasharikiMr. BlueKadi za mialikoManeno sabaMkoa wa KataviWabena (Tanzania)WahaNomino za dhahaniaUtamaduni wa KitanzaniaKutoka (Biblia)Usawa (hisabati)SamakiMkutano wa Berlin wa 1885Ee Mungu Nguvu YetuUrusiUmaskiniUshogaTaasisi ya Taaluma za KiswahiliXXHoma ya matumboPichaMapinduzi ya ZanzibarJacob StephenMsukuleJamhuri ya Kidemokrasia ya KongoTesistosteroniNg'ombeSeli nyeupe za damuBukayo SakaWameru (Tanzania)Historia ya KanisaYuda IskariotiMkoa wa ShinyangaKylian MbappéNomino za pekeeIsraelUfugaji wa kukuDNAAlama ya barabaraniFaraja KottaAdolf HitlerUnju bin UnuqOrodha ya Marais wa UgandaElimuNyasa (ziwa)AganoInshaMauaji ya kimbari ya RwandaMkungaBiblia ya KikristoSkeliTanzaniaHoma ya mafuaWaluguruCAFMkoa wa LindiKombe la Mataifa ya AfrikaNambaWanyamweziVivumishi vya pekeeJumapili ya matawi🡆 More