Umoja wa Mungu Utatu (Baba, Mwana, Roho Mtakatifu) Umwilisho Maisha ya Yesu Msalaba Ufufuko Kupaa Historia ya Wokovu Ufunuo Biblia Mapokeo Ualimu Dogma Neema Dhambi Wokovu Sakramenti Watakatifu Bikira Maria
Jimbo Kuu la Dar-es-Salaam (kwa Kilatini Archidioecesis Daressalaamensis) ni mojawapo kati ya majimbo 34 ya Kanisa Katoliki nchini Tanzania na kama hayo yote linafuata mapokeo ya Kiroma.
Chini yake kuna kanda ya Kanisa yenye majimbo yafuatayo: Zanzibar, Tanga, Morogoro, Mahenge na Ifakara.
Askofu mkuu wake ni Yuda Thaddeus Ruwa'ichi, O.F.M.Cap..
Eneo la jimbo lina kilometa mraba 40,000 hivi, ambapo kati ya wakazi 5,798,760 (2017) Wakatoliki ni 1,724,371 (sawa na 29.7%).
Parokia ziko 109, zikihudumiwa na mapadri 285 (81 wanajimbo na 204 watawa), watawa wanaume wasio mapadri ni 268 na wanawake ni 669.
Makala hii kuhusu Kanisa Katoliki bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Jimbo Kuu la Dar-es-Salaam kama historia yake au maelezo zaidi? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
This article uses material from the Wikipedia Kiswahili article Jimbo Kuu la Dar-es-Salaam, which is released under the Creative Commons Attribution-ShareAlike 3.0 license ("CC BY-SA 3.0"); additional terms may apply (view authors). Maudhui yanapatikana kwa chini ya CC BY-SA 4.0 isipokuwa iwe imebainishwa vinginevyo. Images, videos and audio are available under their respective licenses.
®Wikipedia is a registered trademark of the Wiki Foundation, Inc. Wiki Kiswahili (DUHOCTRUNGQUOC.VN) is an independent company and has no affiliation with Wiki Foundation.