Gustav Mahler (7 Julai 1860 – 18 Mei 1911) alikuwa mtunzi wa Opera na mwelekezi wa Kibohemia-Kiaustria.
Mahler alipata kufahamika sana wakati wa uhai wake kwa kuwa kama mwelekezi wa mabendi yaani kondakta wa muziki. Pia akawa mmoja kati ya waliopata kufahamika katika kipindi cha Romantic, ingawaje muziki wake hauja kubalika kisawasawa katika kituo cha muziki cha mjini Vienna wakati wa uhai wake.
Orodha ya Wanamuziki wa kipindi cha Romatiki | |
---|---|
Alkan Balakirev Beethoven Bellini Berlioz Berwald Bizet Borodin Brahms Bruckner Chopin Cui Dvořák Elgar Field Franck Glinka Grieg Liszt Mahler Mendelssohn Mussorgsky Rachmaninoff Rimsky-Korsakov Saint-Saëns Schubert Schumann Smetana Strauss Tchaikovsky Verdi Wagner Wolf Weber
|
Makala hii kuhusu mwanamuziki fulani wa Ulaya bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Gustav Mahler kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
This article uses material from the Wikipedia Kiswahili article Gustav Mahler, which is released under the Creative Commons Attribution-ShareAlike 3.0 license ("CC BY-SA 3.0"); additional terms may apply (view authors). Maudhui yanapatikana kwa chini ya CC BY-SA 4.0 isipokuwa iwe imebainishwa vinginevyo. Images, videos and audio are available under their respective licenses.
®Wikipedia is a registered trademark of the Wiki Foundation, Inc. Wiki Kiswahili (DUHOCTRUNGQUOC.VN) is an independent company and has no affiliation with Wiki Foundation.