Wamandinka (pia wanajulikana kama Mandenka, Mandinko, Mandingo, Manding au Malinke) ni jina la kabila kubwa huko Afrika ya Magharibi.
Wanakadiriwa kufikia milioni kumi na moja (makundi mengine makubwa ya kikabila katika eneo hilo ambao hawahusiani ni pamoja na Wafula, Wahausa na Wasonghai). Wamandinka ni kizazi cha Dola la Mali, ambao walitamba sana wakati wa utawala wa mfalme wa Kimandinka Sundiata Keita.
This article uses material from the Wikipedia Kiswahili article Wamandinka, which is released under the Creative Commons Attribution-ShareAlike 3.0 license ("CC BY-SA 3.0"); additional terms may apply (view authors). Maudhui yanapatikana kwa chini ya CC BY-SA 4.0 isipokuwa iwe imebainishwa vinginevyo. Images, videos and audio are available under their respective licenses.
®Wikipedia is a registered trademark of the Wiki Foundation, Inc. Wiki Kiswahili (DUHOCTRUNGQUOC.VN) is an independent company and has no affiliation with Wiki Foundation.