Adam Smith

Adam Smith (16 Juni, 1723 - 17 Julai, 1790) alikuwa mwanafalsafa nchini Uskoti aliyeweka misingi kwa Sayansi ya Uchumi ya isasa.

Adam Smith
Adam Smith
Adam Smith
Inquiry into the nature and causes of the wealth of nations, 1922

Katika kitabu chake "Uchunguzi juu ya utajiri wa mataifa" (An Inquiry into the Nature and Causes of the Wealth of Nations) alieleza ya kwamba kama kila mtu ana nafasi ya kufuatilia faida yake ya binafsi ni afadhali kwa maendeleo ya taifa lote. Aliona njia hii kuwa afadhali kuliko serikali kupanga mambo ya uchumi kwa sababu kila mtu anajua mwenyewe mahitaji na uwezo wake. Aliona ya kwamba

Aliona ya kwamba msingi wa uchumi ni kazi ya watu inayoongeza thamani ya maliasili na arhi yenyewe. Kila mtu ana uwezo wa pekee na nafasi za pekee hivyo watu wanaelekea kuchagua sehemu ya nafasi zilizopo. Hii ni msingi wa ugawaji wa kazi mbalimbali kati ya watu. Nafasi ya kubadilishana mazao ya kazi kwenye soko huria inaleta matokeo bora kwa watu wote.

Nadharia hii imekuwa msingi wa falsafa ya ubepari lakini pia Karl Marx alitumia matokeo ya utafiti wa Smith kwa nadharia zake za usoshalisti.

Viungo vya Nje

Tags:

16 Juni17 Julai17231790Sayansi ya UchumiUskoti

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

Sanaa za maoneshoKukiMatumizi ya LughaUmoja wa MataifaKongoshoKishazi huruBendera ya ZanzibarTabianchiKanda Bongo ManBunge la TanzaniaMazingiraBikira MariaHadithi za Mtume MuhammadOrodha ya vitabu vya BibliaMtume PetroFigoSinagogiMkoa wa PwaniKiimboKitenzi kikuuUtawala wa Kijiji - TanzaniaFonolojiaNgono zembeKutoka (Biblia)UmaskiniUenezi wa KiswahiliMuungano wa Tanganyika na ZanzibarHadithiKata za Mkoa wa Dar es SalaamSexRoho MtakatifuOrodha ya Marais wa ZanzibarVivumishi vya kumilikiUrusiJakaya KikweteRiwayaTungo kishaziMkoa wa KigomaIntanetiViwakilishi vya kumilikiMaishaBurundiKoroshoMbuga za Taifa la TanzaniaMfumo wa Msimbo wa Posta TanzaniaTanganyika (ziwa)SensaMkoa wa MbeyaShikamooSaidi Salim BakhresaMkoa wa LindiBaruaMbwana SamattaShairiMbossoInsha za hojaJumuiya ya Maendeleo Kusini mwa AfrikaSiasaMkoa wa ArushaMfuko wa Mawasiliano kwa WoteNembo ya TanzaniaAndalio la somoAbedi Amani KarumeWanyama wa nyumbaniAina za manenoJokate MwegeloMwaniPumuUturukiBarua pepeMahakama ya Tanzania🡆 More