Wiki ya Kijapani (Kijapani: ウィキペディア日本語版 au Wikipedia Nihongo-ban|tafsiri Wikipedia: Toleo la lugha ya Kijapan) ni toleo la kamusi elezo ya Wikipedia kwa lugha ya Kijapani.
Na kwa tar. 25 Juni ya mwaka wa 2008, Wikipedia ya Kijapani imefikisha zaidi ya makala 500,000, na kuifanya iwe toleo la Wikipedia ya tano kwa ukubwa baada ya Kiingereza, Kijerumani, Kifaransa na Kipoland.
Wiki hii ilianzishwa mnamo mwezi wa Septemba ya mwaka wa 2002, na kunako mwezi wa Aprili katika mwaka wa 2006, ilifikisha makala 200,000 na kwa mwezi wa Juni katika mwaka wa 2008, ikafikisha makala 500,000. Hii ni Wikipedia kubwa kwa upande wa lugha ambazo si za Lugha za Ulaya, na ya pili kwa ukubwa ni ile Wikipedia ya Kichina.
Makala hii kuhusu mambo ya elimu bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Wiki ya Kijapani kama historia yake, uenezi au maendeleo yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
This article uses material from the Wikipedia Kiswahili article Wikipedia ya Kijapani, which is released under the Creative Commons Attribution-ShareAlike 3.0 license ("CC BY-SA 3.0"); additional terms may apply (view authors). Maudhui yanapatikana kwa chini ya CC BY-SA 4.0 isipokuwa iwe imebainishwa vinginevyo. Images, videos and audio are available under their respective licenses.
®Wikipedia is a registered trademark of the Wiki Foundation, Inc. Wiki Kiswahili (DUHOCTRUNGQUOC.VN) is an independent company and has no affiliation with Wiki Foundation.