Tim Berners-Lee: Mtaalamu Mwingereza wa kompyuta

Tim Berners-Lee (* 18 Juni 1955 mjini London, Uingereza) alianzisha wavuti wa walimwengu (WWW) au intaneti ya dunia zima.

Wavuti ni mfumo unaowezesha watu kutazama habari, picha na kurasa kutoka dunia yote kwenye tarakilishi yao.

Tim Berners-Lee
Tim Berners-Lee mnamo 2005
Tim Berners-Lee mnamo 2005
Alizaliwa 18 Juni 1955
Kazi yake mwanasayansi

1991 Berners-Lee alikuwa mtaalamu wa kompyuta kwenye CERN (taasisi ya kinyuklia ya Ulaya). Maabara ya CERN ziko pande zote mbili za mpaka wa Uswisi na Ufaransa. Haikuwa rahisi kupata mawasiliano kati ya kompyuta pande zote mbili za mpaka kwa sababu kila nchi ilikuwa na utaratibu wake.

Berners-Lee alitunga lugha ya programu HTML (inayotumiwa leo hii kuandika kila karibu kila ukurasa kwenye toovuti hata wikipedia). Alianzisha pia mpango wa kuweka kompyuta kando kama seva kwa watumiaji wengine. Alitunga mipangoy a kupanusha wavuti kote duniani akasisitiza ya kwamba programu zote ziwe programu huria.

Kwa kazi hizi alikuwa baba wa wavuti.

Leo hii anaishi Marekani akiwa profesa kwenye chuo kikuu cha MIT mjini Boston.

Viungo vya Nje

Tim Berners-Lee: Mtaalamu Mwingereza wa kompyuta 
Wikiquote ina mkusanyiko wa dondoo kuhusu:
Tim Berners-Lee: Mtaalamu Mwingereza wa kompyuta  Makala hii kuhusu mwanasayansi fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Tim Berners-Lee kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.

Tags:

18 Juni1955LondonTarakilishiUingerezaWavuti wa walimwengu

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

Muundo wa inshaHadithi za Mtume MuhammadTanganyika (ziwa)Osama bin LadenOrodha ya Marais wa ZambiaMjombaIsraeli ya KaleBabeliHarmonizeMnyamaMfumo wa uendeshajiKombe la Mataifa ya AfrikaKunguniUingerezaLafudhiBikiraKanga (ndege)Virusi vya UKIMWIMsituKinembe (anatomia)UhindiHistoria ya Kanisa KatolikiBendera ya TanzaniaAli Hassan MwinyiSaratani ya mlango wa kizaziKilimoZana za kilimoSahara ya MagharibiWilaya ya IlalaBarua rasmiMnara wa BabeliAnwaniKiambishi tamatiSamia Suluhu HassanElimuImaniMapafuJumuiya ya MadolaOrodha ya makabila ya TanzaniaKenyaKarafuuUtafitiUandishi wa inshaBarabara nchini TanzaniaUjamaaMange KimambiAlama ya uakifishajiMaliAli KibaElimu ya watu wazimaHerufiWaziriMdalasiniHisiaUsawa (hisabati)Majira ya mvuaKubaOrodha ya nchi kufuatana na wakaziHistoria ya ZanzibarOrodha ya Maspika wa Bunge la TanzaniaMaghaniNdoo (kundinyota)AbrahamuVielezi vya mahaliMvuaTenziToharaNyanya chunguBara la AntaktikiZama za MaweVivumishi vya -a unganifuHasiraOrodha ya mapapaUmoja🡆 More