Nazareti

Nazareti (الناصرة kwa Kiarabu, נצרת kwa Kiebrania) ni mji wenye watu 77,445 upande wa kaskazini wa nchi ya Israeli, ambao kihistoria unajulikana kama Galilaya.

Nazareti
Kisima cha Bikira Maria - Kisima cha karne ya 1 ni kielelezo cha mji wa Nazareti.

Wakazi wengi ni raia wa Israeli wanaoongea Kiarabu na kufuata dini za Uislamu (68,7%) na Ukristo (31,3%).

Nazareti unajulikana kama mji walipokulia Bikira Maria na mwanae Yesu Kristo, ambaye kadiri ya Injili, ingawa alizaliwa Bethlehemu, alikuwa anatajwa kama Mnazareti.

Marejeo

Viungo vya nje

Tags:

GalilayaIsraeliKaskaziniKiarabuKiebraniaMji

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

Historia ya TanzaniaSiafuMisimu (lugha)Utalii nchini KenyaMfumo katika sokaMapinduzi ya ZanzibarShengShetaniWapareMnururishoPumuUsawa (hisabati)MjombaTanzaniaNahauMadawa ya kulevyaUyahudiGoba (Ubungo)HektariNdiziAViunganishiUshairiMwamba (jiolojia)IndonesiaBendera ya ZanzibarOrodha ya makabila ya KenyaTiktokWanyama wa nyumbaniNguruwe-kayaMaambukizi nyemeleziMkopo (fedha)Saida KaroliLuhaga Joelson MpinaMarekaniKunguruKisononoKataMapenzi ya jinsia mojaFigoVita Kuu ya Kwanza ya DuniaAgostino wa HippoZabibuAlizetiKaswendeSayansiNafsiBendera ya TanzaniaHistoria ya ZanzibarMaishaViwakilishi vya kuoneshaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaMkoa wa MwanzaViwakilishi vya urejeshiWanyaturuHistoria ya KanisaLilithMkoa wa ShinyangaKiumbehaiUandishi wa inshaLugha ya taifaKiambishiJokate MwegeloAlama ya uakifishajiMbossoVielezi vya mahaliUundaji wa manenoTungoBaraza la mawaziri TanzaniaTaswira katika fasihi🡆 More