Mwambao ni sehemu iliyo karibu na bahari, ziwa au mto pale ambako nchi kavu na maji zinakutana.
Ni neno ambalo maana yake hufanana na pwani lakini linatazama eneo karibu zaidi na maji pekee.
Hivyo inaweza kutaja sehemu maalum karibu na bahari, kama vile kata ya Mwambao (Rufiji).
This article uses material from the Wikipedia Kiswahili article Mwambao, which is released under the Creative Commons Attribution-ShareAlike 3.0 license ("CC BY-SA 3.0"); additional terms may apply (view authors). Maudhui yanapatikana kwa chini ya CC BY-SA 4.0 isipokuwa iwe imebainishwa vinginevyo. Images, videos and audio are available under their respective licenses.
®Wikipedia is a registered trademark of the Wiki Foundation, Inc. Wiki Kiswahili (DUHOCTRUNGQUOC.VN) is an independent company and has no affiliation with Wiki Foundation.