Matokeo ya utafutaji kwa ajili ya
Kuna ukurasa unaoitwa "Ziwa" kwenye Wiki Kiswahili. Angalia pia matokeo mengine ya utafutaji yaliyopatikana.
Ziwa ni gimba kubwa la maji linalozungukwa na nchi kavu pande zote. Tofauti na bahari ni ukubwa na kutobadilishana maji na bahari kuu. Lakini maziwa kadhaa... |
Ziwa Viktoria (pia: Ziwa Nyanza au Ziwa Ukerewe) ni ziwa kubwa la Afrika ya Mashariki lililopo baina ya Tanzania, Kenya na Uganda. Eneo la maji ya ziwa... |
Ziwa Tanganyika ni moja ya maziwa makubwa ya Afrika ya Kati likienea mpakani mwa Tanzania, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Burundi na Zambia. Ni ziwa... |
Ziwa Nyasa (katika Malawi: Lake Malawi; katika Msumbiji: Niassa) ni kati ya maziwa makubwa ya Afrika ya Mashariki likiwa na nafasi ya tatu baada ya Viktoria... |
3°35′N 36°7′E / 3.583°N 36.117°E / 3.583; 36.117 Ziwa Turkana ni ziwa kubwa lililopo katika kaskazini yabisi ya Kenya. Halina mto unaotoka, hivyo maji... |
417 Ziwa Rukwa ni ziwa kubwa la magadi nchini Tanzania. Liko upande wa kusini magharibi wa nchi, karibu na Zambia, kati ya Ziwa Tanganyika na Ziwa Nyasa... |
Ziwa Albert - pia Albert Nyanza, Ziwa Mwitanzige, na zamani kwa miaka michache Ziwa Mobutu Sese Seko - ni moja ya maziwa makubwa ya Afrika. Ni ziwa kubwa... |
Ziwa Edward (au Ziwa Rutanzige; pia: Edward Nyanza) ndilo ziwa dogo zaidi kati ya Maziwa Makuu ya Afrika. Liko magharibi mwa Bonde la Ufa la Afrika Mashariki... |
Ziwa Dweru (au ziwa George la Uganda) ni ziwa dogo (km2 250) la eneo la Maziwa Makuu ya Afrika. Liko nchini Uganda kwenye Ikweta. Ziwa Dweru linachangiwa... |
Ziwa Elmenteita (pia: Elmentaita, Elementaita) ni ziwa la magadi, katika eneo la mashariki la Bonde la Ufa la Afrika Mashariki, kilomita 120 kaskazini... |
Ziwa Nakuru ni mojawapo ya maziwa ya magadi katika Bonde la Ufa. Linapatikana kusini mwa mji wa Nakuru, katika eneo la kati nchini Kenya na linazungukwa... |
Ziwa Kayumbu (au Kayumba) ni ziwa dogo la Uganda, karibu na ziwa Chahafi (wilaya ya Kisoro). • Orodha ya maziwa ya Uganda... |
Ziwa la chumvi (kwa Kiingereza: salt lake) ni aina ya ziwa ambalo maji yake huwa na kiwango kikubwa cha chumvi ndani yake. Kwa kawaida karibu kila mahali... |
Ziwa Kachera (piaː Kachira, Kachra) ni ziwa dogo la Uganda kusini kwa Ikweta, katika wilaya ya Mbarara. Ziwa hilo lina eneo la kilometa mraba 36.88. Geonames... |
Ziwa Magadi lipo kusini mwa Kenya katika eneo la Bonde la Ufa, kaskazini mashariki kwa Ziwa Eyasi. Ni ziwa la chumvi na kiwango chake cha uchumvi kinazidi... |
(kaunti ya Baringo). Ziwa Bogoria, kama vile Ziwa Nakuru, Ziwa Elmenteita, na Ziwa Magadi kusini zaidi katika Bonde la Ufa, na Ziwa Logipi kaskazini, ni... |
Ziwa Bisongo (au Ziwa Bisongu au Ziwa Ngoma) ni kati ya maziwa madogo ya Tanzania. Linapatikana katika mkoa wa Kagera. Orodha ya maziwa ya Tanzania... |
Ziwa Aral (kwa Kikazakhi: Арал теңізі Aral tengizi, kwa Kiuzbeki: Orol dengizi, kwa Kirusi: Аральскοе мοре Aralskoye more) ni ziwa la Asia ya Kati, mpakani... |
Ziwa Mujunju (pia: Ziwa Rwakajunju) ni kati ya maziwa madogo ya Tanzania. Linapatikana katika mkoa wa Kagera. Orodha ya maziwa ya Tanzania Geonames.org... |
Ziwa Naivasha ni moja ya maziwa makubwa nchini Kenya (Kaunti ya Nakuru). Ndani yake vinapatikana visiwa vifuatavyo: Kisiwa cha Hilali (kaunti ya Nakuru)... |